Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Kuchat km kawa but sio kulalamika......malalamiko yanashughulikiwa kwahiyo tusiwe na fujoBig up Makapuku wote,tuendelee kuwa pamoja na upendo usiishie hapa tu.
Hamna noma prezdaKuchat km kawa but sio kulalamika......malalamiko yanashughulikiwa kwahiyo tusiwe na fujo
Wewe kapuku?..Nimechelewa mpaka uzi umefika mbali 😀
Wewe kapuku?..
makapuku tunaonewa sanaaAcheni ubaguzi jamani wote humu ni wamoja.
Haswaaa!Iko zaidi ya Zanzibar Revolution.
Asante sanaA Zulu phrase "Power to the people"
Pole sanaNimechelewa mpaka uzi umefika mbali 😀