Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Te te te usinywe sumu tutakumissMakapuku ninavyowapenda nitakunywa sumu juu yenu,
Sio siri naumiaaaa naumiaaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Te te te usinywe sumu tutakumissMakapuku ninavyowapenda nitakunywa sumu juu yenu,
Sio siri naumiaaaa naumiaaa..
Tayari. Kacheck sasa hiviAlaf Th hajaweka jina langu kwenyee list ya Makapuku ebu apitee hapaa akaliwekee
Nadhan n muelewaa atalifanyaa kaz hilii jamboMpm kama haoni
Th Name
Naona unaji quote tulabda mkituma like labda mzitume pamoja na miamvuli ili iweze kunifikia ikiwa salama
sawa MkuuFuata maelekezo post #3
Ila ni kweli hawa jamaa hawashindwi kutunyima likes.maana ukichelewa mods wanaweza wakaufunga uzi kwa sababu wanaona mnawamalizia like zao walizoziweka kwenye masanduku yao
sawa mkuu nimelionaaa Hongera zakoTayari. Kacheck sasa hivi
embu pokea like kwanza kabla sijakujibu.Naona unaji quote tu
Karibu tena kamandasawa mkuu nimelionaaa Hongera zako
Makapuku wanahusiana nini na issue za kujiquote mwenyewe?embu pokea like kwanza kabla sijakujibu.
JIBU: kwa sababu mimi akili zangu ni za kikapuku ndo mana nafanya hivi
kama wanaweza kukupunguzia like huku ukiwa unajiona, sasa unafikiri wanashindwa kuufunga???Ila ni kweli hawa jamaa hawashindwi kutunyima likes.
Huyu naona ameanza kulewa likes.Makapuku wanahusiana nini na issue za kujiquote mwenyewe?
kula likeMakapuku wanahusiana nini na issue za kujiquote mwenyewe?
Aisee wakiufunga tutaandama mpaka ICCkama wanaweza kukupunguzia like huku ukiwa unajiona, sasa unafikiri wanashindwa kuufunga???
Karibu tena kamanda
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Huyu naona ameanza kulewa likes.
Halafu nenda kwenye link cheki most likes... Tuko vizuri sana makapukuKuna watu walikuwa na trophy point 0 ...baada ya kuna hapa sana matrophy point kibao
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
wakiufunga dawa yao ni kugoma tuu, tuone kama mapato hayatapungia.. wakafuñga kampuniAisee wakiufunga tutaandama mpaka ICC