Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Sio moja tu, ni zote zitakazozidi baada ya kufika tanoWameiba moja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio moja tu, ni zote zitakazozidi baada ya kufika tanoWameiba moja!
Dah,kweli hawa watu roho zao mbaya sana.Sio moja tu, ni zote zitakazozidi baada ya kufika tano
embu tupia like na hapa tenaMkuu usijali,hapa utakula likes mpaka useme basi!
Labda wanajaribu kutupunguza nguvuSio moja tu, ni zote zitakazozidi baada ya kufika tano
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu leo unaniacha hoi.embu tupia like na hapa tena
Hawataweza kutupunguza nguvu hata siku moja,labda wapige Ban Makapuku wote.Labda wanajaribu kutupunguza nguvu
[emoji23] [emoji23] [emoji117] [emoji120] [emoji117] [emoji106] [emoji106][emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu leo unaniacha hoi.
Naona unavyochangamkia fursa[emoji23] [emoji23] [emoji117] [emoji120] [emoji117] [emoji106] [emoji106]
bora nichangamkie fursa maana usipofanya hivyo unaweza ukajutia badaeNaona unavyochangamkia fursa
ekai waghoshi.Osiee!
Aminia bababora nichangamkie fursa maana usipofanya hivyo unaweza ukajutia badae
Alaf Th hajaweka jina langu kwenyee list ya Makapuku ebu apitee hapaa akaliwekeeIla tusife moyo
maana ukichelewa mods wanaweza wakaufunga uzi kwa sababu wanaona mnawamalizia like zao walizoziweka kwenye masanduku yaoAminia baba
Sawa sawamaana ukichelewa mods wanaweza wakaufunga uzi kwa sababu wanaona mnawamalizia like zao walizoziweka kwenye masanduku yao
labda mkituma like labda mzitume pamoja na miamvuli ili iweze kunifikia ikiwa salamajamani huku nilipo kuna mvua balaa, mpaka Like zangu zinanifikia zikiwa zimelowa
Fuata maelekezo post #3Alaf Th hajaweka jina langu kwenyee list ya Makapuku ebu apitee hapaa akaliwekee