Ndio sisi ni Makapuku kweli na kwa sasa tuko kwenye harakati za kupigania haki sawa dhidi ya wale wanaojiita wakongwe, kama hujaelewa unaruhusiwa kuuliza tenaSasa hiki chama chenu cha makapuku hua wote humu ni makapuku kwelii? Au sielewi maana ya makapuku hebu nisaidieni kina bitozi na jimena
Sasa hiki chama chenu cha makapuku hua wote humu ni makapuku kwelii? Au sielewi maana ya makapuku hebu nisaidieni kina bitozi na jimena
Tafsiri sahihi ipo kwenye JF KM GRUP LA WHATSAPP mwisho wa ile madaNa mimi ni kapuku mmojawapo? Sijaelewa maana ya kapuku
Sauti za Makapuku zinasafiri kuliko hata upepo..[emoji4]Haya wale wanaochukulia movement hii kama kukosa kazi na kutafuta kick waje waexplain hii....
JF where we dare to talk open🙄🙄
Huo uopen uko wapi sasa?!
MODs mturudishie heading yetu bhana!!!😡😡 not fair
Hili nalo nimelipenda sana, sasa kamata Like yangu pia[emoji106]Niko kimya kwa ajili ya ku-like 'comment'.
Bado umeniacha ina maana makapuku ni watu ambao hawathaminiwi hapa jfau nitakua nimekosea dhidi ya wakongwe?Ndio sisi ni Makapuku kweli na kwa sasa tuko kwenye harakati za kupigania haki sawa dhidi ya wale wanaojiita wakongwe, kama hujaelewa unaruhusiwa kuuliza tena
Rejea uzi wenye kichwa kisemacho Jamii Forum kama group la whats app, utakujibu maswali yako yoteBado umeniacha ina maana makapuku ni watu ambao hawathaminiwi hapa jfau nitakua nimekosea dhidi ya wakongwe?
Asante Mkuu, pamoja we can.Hili nalo nimelipenda sana, sasa kamata Like yangu pia[emoji106]
Tafsiri nishaiweka kwenye post #3Rejea uzi wenye kichwa kisemacho Jamii Forum kama group la whats app, utakujibu maswali yako yote
Pamoja sana sana....Asante Mkuu, pamoja we can.
Karibu sana, taratibu na miongozo bado inatengenezwa ili kuipa nguvu TEAM MAKAPUKU kuelendelea kuwepo hewani na kuthaminiwa pia.Ok now nimeelewa kazi kwelikweli basi hata mimi ni mmojawapo ati hahahaaa
Nimekupata president mwenyewe na mimi ni wa nchi yako hii sasaNishatoa tafsfiri ya KAPUKU kwenye post # 3
Nimeedit kuepusha maswali yasiyo ya lazima
Sawa kabisa nadhani atakuwa ameiona sasaTafsiri nishaiweka kwenye post #3
mPM Th Name akuweke kwenye list huyo ndo muhusikaNimekupata president mwenyewe na mimi ni wa nchi yako hii sasa