Makapuku Forum

Makapuku Forum

8064cc7179df43a996fe356647a60a8d.jpg

Naendelea kuosha vyombo
Mwanaume kazi[emoji2] [emoji2]
 
nimerudi hapa ndugu jamaa na makapuku wote. ki ukweli nilikuwa kimya sana tokea muda wa mchana kutokana na kukatika kwa umeme na kuchelewa kurudi . lakini mawazo yote yalikuwa kwenu makapuku wenzangu.

nilikuwa nikiiwaza thread hii
huku nikihisi kuhujumiwa na MODS ambao wamejipa kazi ya kupunguza LIKE tunazopeana hapa. Lakini tusife moyo mapambano bado yanaendelea. lakini kama kweli Mods wanakifanya hiki tunacholalamikia kamwe malalamiko yetu hayatakwenda bure. Bado tunapambana na tutapambana mpaka kieleweke JUSTICE FOR MAKAPUKU

 
Back
Top Bottom