Makapuku Forum

Makapuku Forum

Afu wabongo ni watu kuogopa sana majina, unakuta kapuku umepost kitu cha maana kweli, post ya kwanza akichangia the so called mkongwe akakuponda, basi ujue you are doomed!! Kika anayekuja atakupnd tu.

Yani kuna some kind of persona worship ambayo it has to go😡😡
Wana ile tabia ya bendera fata upepo yani wanakera sanaa
 
Back
Top Bottom