Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Au utasikia div 5, au hivi majibu bado hayajatoka watoto wapungue humu???Na mimi nimeliona hili ati dharau zimezidi utasikia rudi shule dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au utasikia div 5, au hivi majibu bado hayajatoka watoto wapungue humu???Na mimi nimeliona hili ati dharau zimezidi utasikia rudi shule dogo
Lalamiko lipo kule MEMBERS ONLY....but tumeweka mgono hakuna kuandika kitu NENDA KAWEKE NUKTA TUHarafu kuna like zingine mtu akikupa hauzioni zinaishia hewani hewani.
Kabisa mkuu wanaboa sana hawa wakongweAu utasikia div 5, au hivi majibu bado hayajatoka watoto wapungue humu???
Misingi ya Makapuku ni upendo, ushirikiano, mshikamano na kupeana sapoti sasa kwa kuanzia tu hebu pitia thread yote udondoshe likes za kutosha ili kuonyesha sapoti yako.Na mimi nimeliona hili ati dharau zimezidi utasikia rudi shule dogo
Mara watoto wa BRNAu utasikia div 5, au hivi majibu bado hayajatoka watoto wapungue humu???
Wanabanaaaaaa sijui wanajiongezea wao??? Hapo mi hata sielewi kwako zinabaki kusomeka 5 tuHarafu kuna like zingine mtu akikupa hauzioni zinaishia hewani hewani.
Who asks for your opinion???Niko JF mwaka Wa NNE huu sio maarufu kivile wala sitaki umaarufu kwa kulazimisha ..
Halafu hivi unaanzaje kujiita kapuku ..
au kwasababu hujuani na the boss au nyani ngabu au Lara 1
any way nadhani self underestimation imehusika hapa na inferiority complex.
Good luck with your movement .
be careful JF ina wenyewe .
who asked you for your reply??Who asks for your opinion???
YaaaaniiiiiMara watoto wa BRN
Hata mi wala sielewiMie ata sijui nipo wapi kwa kweli.
Niko JF mwaka Wa NNE huu sio maarufu kivile wala sitaki umaarufu kwa kulazimisha ..
Halafu hivi unaanzaje kujiita kapuku ..
au kwasababu hujuani na the boss au nyani ngabu au Lara 1
any way nadhani self underestimation imehusika hapa na inferiority complex.
Good luck with your movement .
be careful JF ina wenyewe .
promo[emoji15] ? for what?[emoji3]ibra87 kuna mtu kapotea njia hapa, mi sitaki kumpa promo
We ni maarufu ujue...!!Hata mi wala sielewi
Ndio, ni mmoja kati ya Makapuku maarufu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]We ni maarufu ujue...!!
Hakuna anaetaka kujuana na the boss sijui lara1 sijui ngabu hapa dharau zipungue tueshimiane na tuelekezane sio kujifanya mkubwa hapa jf kisa una miaka 10 na zaidi hapaNiko JF mwaka Wa NNE huu sio maarufu kivile wala sitaki umaarufu kwa kulazimisha ..
Halafu hivi unaanzaje kujiita kapuku ..
au kwasababu hujuani na the boss au nyani ngabu au Lara 1
any way nadhani self underestimation imehusika hapa na inferiority complex.
Good luck with your movement .
be careful JF ina wenyewe .
Hata kama watapunguza likes zetu, support yetu ya MAKAPUKU itaendelea kuwepo palepale.Misingi ya Makapuku ni upendo, ushirikiano, mshikamano na kupeana sapoti sasa kwa kuanzia tu hebu pitia thread yote udondoshe likes za kutosha ili kuonyesha sapoti yako
Japo zitabaki kusomeka 5 ila we gonga like bila kuchoka[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]