Makapuku Forum

Makapuku Forum

promo[emoji15] ? for what?[emoji3]

no need of promo.... and this is bullshit kind of thread [emoji4]

JF admins need to close because it preaches segregation among members

I hope u have got me[emoji4] [emoji4]

[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]

Ubaguzi wameuanza wao, sie tunaendelea walipoishia tu.

For the Love of God, please just pass....tuachie uzi wetu.
 
Thanks for the goodluck wishes.
Ila unatakiwa ujue kitu kimoja, kwetu sisi neno KAPUKU ni neno ambalo tumelipa value ya juu kabisa, noble value!! Hivyo basi sisi kujiita makapuku wala isikupe shida, its our choice and will stand and die for it if neccessary!!

Kuhusu umaharufu, hiyo huwa ni resultant tu, hamna mtu ambaye huwa anakaa chini na kuengineer kuupata umaarufu, kama yupo basi huyo ni extraterrestial being!!!

And i feel sad haujaelewa the whole concept ya hii movement! Na ninahisi wengi hawajaielewa.
Asante kwa kumjibu vizuri mkuu
 
Thanks for the goodluck wishes.
Ila unatakiwa ujue kitu kimoja, kwetu sisi neno KAPUKU ni neno ambalo tumelipa value ya juu kabisa, noble value!! Hivyo basi sisi kujiita makapuku wala isikupe shida, its our choice and will stand and die for it if neccessary!!

Kuhusu umaharufu, hiyo huwa ni resultant tu, hamna mtu ambaye huwa anakaa chini na kuengineer kuupata umaarufu, kama yupo basi huyo ni extraterrestial being!!!

And i feel sad haujaelewa the whole concept ya hii movement! Na ninahisi wengi hawajaielewa.
Naona hii dawa inawaingia taratibu, wanadhubutu kuja na ku-concept ili watuangushe kwa kujiona wao ni bora na ni werevu kumbe hamna lolote.

Watu wa 'dizaini' hii tuwapuuze.
 
promo[emoji15] ? for what?[emoji3]

no need of promo.... and this is bullshit kind of thread [emoji4]

JF admins need to close because it preaches segregation among members

I hope u have got me[emoji4] [emoji4]

[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Wewe hujielewi, kwa taarifa yako mods wanaujua vyema huu uzi kwahiyo hata wao watakushangaa sana.

Wee mpuuzi tu, hili ni jeshi la mtu mmoja. Unapoteza mda wako kubisha usichokielewa.
 
Ni miaka Saba sasa toka nijiunge jf ulikuwa ukichangia lazima uzinguliwe kipindi hicho kulikuwa Na mpambano kweli kweli mpaka tusiokuwa wakongwe wengi tulikuwa ni kusoma posti tu.

Bora sasa makapuku wengi mpaka uwezo Wa kujitetea upo jf izidi Na izidi kuwa Na maisha marefu saluti kwa MAKAPUKU WOTE Wa jf
 
Make somebody small does not make you bigger, hii ndio concept kubwa wanajiita wakongwe wanashindwa kuelewa! Kama tumeamua jf iwe ni social media then we should be social ourselves.

Kuna comment moja kwenye jukwaa la MMU ilitolewa na mkongwe, anatukana tusi zito, ila hakuna tatua inayochukuliwa, vitu kama hivi ndio vinawafanya hawa wakongwe wajione wako above everything.
 
Back
Top Bottom