Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makapukuu hoyeeeeee!!!!!
Heheheheiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, taratibu tuu wanatuelewa.
[emoji445] [emoji450] [emoji441] nachechemea, nachemea
Mie ndio kapuku eeeh, nachechemea nachechemea like ziko wapiii, nachechemea nachechemea followers wapo wapiiii ooooh...
Kwa kweli acha tusapotiane wenyewe kwa wenyewe, ngoja nianze kwa kukulike for no reason, na nikufollow for no reasonVyote hivyo utavipata kwenye familia hii, stick with us bro
Kwa kweli acha tusapotiane wenyewe kwa wenyewe, ngoja nianze kwa kukulike for no reason, na nikufollow for no reason
Kwenye Top 20 tunafanya vizuri sana kipengele hikiVipi idadi ya LIKES??
Mpaka sasa umesha follow wangapi? Tuanzie hapo kwanzahebu makakupu wote mnifollow nione kama tuna umoja
Kimsingi hata wewe ni kapuku ila kutokana na wewe mwenyewe kutojihusisha na harakati ndomana unaona kama majina hayajawekwa yote, na list inaendelea kurekebishwa siku hadi sikuSasa mbona kama umewatenga makapuku wenzako kwa kutaja majina ya baadhi hapo juu?
yaani ndo natembeza saa hz ngoja nije kwakoMpaka sasa umesha follow wangapi? Tuanzie hapo kwanza
Sana tuuuuuMakapukuuuuuuuuuuuuu mpooooooooooooooo..............
Fanya makeke ongeza usajiliSana tuuuuu
Ndugu Makapuku,
Malalamiko yenu kuhusu suala la Likes na mengineyo yanafanyiwa kazi. Hii ni changamoto ya JF nzima kwa sasa.
Na niwakumbushe tu, hizi harakati za 'Ukapuku' ziwe ni kwa nia njema na msisahau kuzingatia Sheria za JF.
Nawatakia kila la heri.