sizzya007
JF-Expert Member
- Mar 15, 2016
- 771
- 2,416
Kwani vp humu ndani mie sielewi hata nielewesheni kidogo tu wajameni
Soma page ya kwanza mpaka ya tatu utapata mwanga kwa asilimia 99.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani vp humu ndani mie sielewi hata nielewesheni kidogo tu wajameni
Yaani leo nimevurugwa hadi nukta na like, kwani kuna tatizo? [emoji2] [emoji2]
Ni miaka Saba sasa toka nijiunge jf ulikuwa ukichangia lazima uzinguliwe kipindi hicho kulikuwa Na mpambano kweli kweli mpaka tusiokuwa wakongwe wengi tulikuwa ni kusoma posti tu. Bora sasa makapuku wengi mpaka uwezo Wa kujitetea upo jf izidi Na izidi kuwa Na maisha marefu saluti kwa MAKAPUKU WOTE Wa jf
Makapuku ni nani?
TOP 10 makapuku tishio JF
Underground vs Wakongwe wa JF
JF kama Group la WhatsApp
KAPUKU ni
*Member mgeni
*Member asiye maarufu
*member underground
*Member mwenye post chache
*Member anayenyanyaswa
sijaelewa dhima ya mtoa mada nakaa kwanza kimya....
who is kapuku?
Bado idadi ni ndogo sana, lakini tunakomaa mpaka kieleweke.Vipi idadi ya LIKES??
Hakuna tatizo mkuu, ni mwendo wa like tu kwa kwenda mbeleYaani leo nimevurugwa hadi nukta na like, kwani kuna tatizo? [emoji2] [emoji2]
Mkuu fanya kupitia uzi uone list ilivyoongezeka, natumai tag zetu ulizionaKweli nimeamini pamoja tunaweza Makapuku.
Fanya kazi yako sasa sio kurrply tuNilikuwa bize kidogo Kila sasa nimerudi prezidaa
Umoja ni nguvu hakikaShukrani Mkuu, umeonyesha uzalendo wa hali ya juu sana.
Asante kwa 'support' yako kuipa nguvu TEAM MAKAPUKU kuendelea kuwa rise up.
Tunawapiga za uso live live.Makapukuu hoyeeeeee!!!!!
Heheheheiyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, taratibu tuu wanatuelewa.
I wish ningeweza ku like tena [emoji2] [emoji2]Hakuna tatizo mkuu, ni mwendo wa like tu kwa kwenda mbele
NimeongezaFanya kazi yako sasa sio kurrply tu
Ongeza list pale
Nipe hio ofa na mimi aiseeeEMMYGUY weka hata nukta upate like, yaani leo ninatoa extreme ya like
Rudi nyuma mpaka page ya kwanza utembeze likes kote na itakuwa poa sanaI wish ningeweza ku like tena [emoji2] [emoji2]
[emoji441] [emoji450] [emoji445] kwani wao waweze hadi sisi tushindwe tuna nini
Haya fanya mambo [emoji2] [emoji2]Nipe hio ofa na mimi aiseee
Bado sana....pitia posts kuanzia uliposepa ...Nimeongeza
Wale sio wote mkuu...Nimeongeza
Ngoja nifanye hivyoBado sana....pitia posts kuanzia uliposepa ...