damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Usijaliii mie tena, yaani nina furushi la like zina nitekenya tekenyaRudi nyuma mpaka page ya kwanza utembeze likes kote na itakuwa poa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijaliii mie tena, yaani nina furushi la like zina nitekenya tekenyaRudi nyuma mpaka page ya kwanza utembeze likes kote na itakuwa poa sana
Usijali nitawaadd woteWale sio wote mkuu...
Aminia sanaaaaUsijaliii mie tena, yaani nina furushi la like zina nitekenya tekenya
Pamoja sanaaaaUsijali nitawaadd wote
Mods wameedit heading aiseeWataelewa tu mwaka huu, pamoja na heading kuwa na herufi ndogo ila uzito wake uko pale pale
Ndio, ila kitaeleweka tu, tusife moyo, sio kuedit tu mbona waliuunganisha na uzi mwingine tunapiga kelele ndo ukarudishwaMods wameedit heading aisee
Hajatengwa mtu, kama unahitaji kuwa 'member' kuna sheria na taratibu zilizowekwa na Team.Sasa mbona kama umewatenga makapuku wenzako kwa kutaja majina ya baadhi hapo juu?
Waliunganisha na Uzi upi tena hawa modsNdio, ila kitaeleweka tu, tusife moyo, sio kuedit tu mbona waliuunganisha na uzi mwingine tunapiga kelele ndo ukarudishwa
Mkuu, nshakufollow tayari.hebu makakupu wote mnifollow nione kama tuna umoja
Hayo ni mawazo yako binafsi, nijuavyo mbio zetu ni za barabarani tena ile barabara ya lami.Hizi movement za Makapuku ni kama mbio za sakafuni.
Ule wa JF kama kundi la what's app..... Ila kilio chetu kilisikika na ukarejeshwa.Waliunganisha na Uzi upi tena hawa mods
Nimefika
Tupooooo........Makapukuuuuuuuuuuuuu mpooooooooooooooo..............
Mods wamefanya yao aiseeMbona kichwa kimebadirika😱😱😱
Au ndo figisufigisu limeanza?!
Unaendelea na usajili Mkuu?Nimefika
Naendelea kama kawaidaUnaendelea na usajili Mkuu?
yes nawe ni kapuku Ha Ha Ha.Do i qualify!??