Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Umekosa vitu vingi sanaNimerudi wakuu....nilitoka kidooogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosa vitu vingi sanaNimerudi wakuu....nilitoka kidooogo
Hivi wewe pia ni kapuku!Haya makapuku wenzangu mambo vipi?
Nawaunga mkono mtoke kwenye hilo kundiKama kawaida
Bado hujanifollowNdo kazi yangu. Naongeza memba
Yah hata mie ni kapukuHivi wewe pis ni kapuku!
Hivi wewe pis ni kapuku!
Usiwe na shaka huu uzi unapandaTujitahidi uzi uweke record ya kuwa na pages nyingi ndani ya muda mfupi kuliko thread yeyote ile tokea kuanzishwa kwa hii forum.
Asante sanaNawaunga mkono mtoke kwenye hilo kundi
Nipo msagasumu kule huonekani kumbe unajificha huku.... itabidi @thname akupe cheo hukuMsaga sumu, msaga sumu. Nakusalim
Yah hata mie ni kapuku
Mkuu nimekufollowBado hujanifollow
Mbona tayari. Hebu ngoja nicheckBado hujanifollow
Unaongea nini wewe mbona sikuelewiMbona ni kama vile na wewe ni mmoja wao?
Mimi pia nahusika,naangalia data zako ukigundulika sio kapuku tunakutoa!Ni nani anayehusika kukagua mamluki?
hiv kufollow huku wafanyajeOffer offer offer,
Pata offer kabambe leo
Just give to receive
Pata like baada ya ku like
Pata followers baada ya ku follow
[emoji2] [emoji111]
Basi karibu sanaYah hata mie ni kapuku