damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Like zipo za kumwaga, ila na wewe inabidi utoe likeMAKAPUKU wenzangu eeh, naombeni like 5 za faster hapa ili mnisogeze kidogo angalau nmfikie Nyani ngabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Like zipo za kumwaga, ila na wewe inabidi utoe likeMAKAPUKU wenzangu eeh, naombeni like 5 za faster hapa ili mnisogeze kidogo angalau nmfikie Nyani ngabu
cha msingi ni mshikamao tuu, mbona tutafanikiwa tu broNatamani iendelee kuwa hivi.
Namna hiyoo..cha msingi ni mshikamao tuu, mbona tutafanikiwa tu bro
Una maono sana kapuku weye...... Hivi ni wewe yule ajaye au tumtazamie mwingine???Nilisema asubuhi kuwa mpaka kufikia saa moja like zitakuwa zaidi ya 1k.....angalia sasa tulipo!
Hii inanikumbusha kale ka msemo ka huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono
leo nitatoa like kwa kila mchangoaji humu na nmeshaianza hiyo kazi kuanzia sasa, ila sorry nilikiwa busy ndo mana ikashindikanaLike zipo za kumwaga, ila na wewe inabidi utoe like
Asante Mkuu.Hebu pata [emoji481]
Labda kwa jukwaa hilihii thread lazima itoboe OZONE maana mpaka sasa hivi imeshafikia page 52 per 9 hours.
yani mpaka mwaka uishe itakuwa ndo thread iliyochangiwa kwa wingi kuliko zote.
hapa ndo moderetor ajue kuwa sisi MAKAPUKU kilio chetu kinaweza kufika hadi sayari ya Pluto
Haina tabu, unalike unacomment tunalikeleo nitatoa like kwa kila mchangoaji humu na nmeshaianza hiyo kazi kuanzia sasa, ila sorry nilikiwa busy ndo mana ikashindikana
Ewaah! umoja ni nguvu.. na hii mdp nguvu ya Uma yani tukiamua kupaza sauti yetu namna hii naamini hamna mtu wa kutuzuiacha msingi ni mshikamao tuu, mbona tutafanikiwa tu bro
Ni kitambo sana ndugu yangu. Upo powa lakiini? Eti nimekidhi vigezo!!!
Ha Ha ha usijali hii ni zaidi ya M4C
Una maono sana kapuku weye...... Hivi ni wewe yule ajaye au tumtazamie mwingine???
Bora upite tu,kabla hatujakutumbuaHahahahahaaaaa....natamani ingekua movie ...samahanini jamani.. Napita tu japo mm ni kapuku mwenyeji
Jukwaa lolote lile tukiamuaLabda kwa jukwaa hili
Wewe bado ni kapuku ndugu, karibu kwenye familia yetu, gonga like, pata like , tukutoe kwenye 120 zako upate like nyingi zaidi. Tumia fursaHahahahahaaaaa....natamani ingekua movie ...samahanini jamani.. Napita tu japo mm ni kapuku mwenyeji
kama kawa.. thumbz up meeen, ni mwendo wa kucomment na kulike tuHaina tabu, unalike unacomment tunalike
Hata sisi tunakupenda sana.Nawapendeni makapuku woootee!
Hahahahaaaa.. Nikaribishe basi niondoke na kitu hapaBora upite tu,kabla hatujakutumbua