KABUGHA
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 351
- 999
Nimejitahid kupitia post zote katika forum hii tukufu ya makapuku sema avatar yako inasababisha nacheka pindi nionapo comment yako kapuku mwenzanguHakika, lazima tujipandishe bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejitahid kupitia post zote katika forum hii tukufu ya makapuku sema avatar yako inasababisha nacheka pindi nionapo comment yako kapuku mwenzanguHakika, lazima tujipandishe bwana
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] ama nene!!Nimegusa yako na yake... Tabasamu basi
Cheka ndugu yangu uondoe damu chafu mwilini[emoji2] [emoji2]Nimejitahid kupitia post zote katika forum hii tukufu ya makapuku sema avatar yako inasababisha nacheka pindi nionapo comment yako kapuku mwenzangu
[emoji817][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makapukuu katikaa uboraa wetu
Wanaanzaje sasa kugoma kwa mfano??Chungulia dirisha la kila member wakupe kwa lazima.. Wakigoma ingia ndani lazima upate
Weka kapicha basi kapukudah makapuku karibuni ugali kwa samaki na kachumbari
Sio kwa mshikamano huu tuliouonyeshaNaanzaje kwanza kukuchunia [emoji3] [emoji3]
Hapo sasa...like basi eeWanaanzaje sasa kugoma kwa mfano??
Hapa nime like japo sikuelewa damu chafu inaondokaje kwa kucheka!!Cheka ndugu yangu uondoe damu chafu mwilini[emoji2] [emoji2]
Karibu sana kama bado hujawekwa kwenye list unaweza kumPM Th Name ili akuweke kwenye orodhaNimejitahid kupitia post zote katika forum hii tukufu ya makapuku sema avatar yako inasababisha nacheka pindi nionapo comment yako kapuku mwenzangu
baadaye nitaweka maana saahz kijasho kinanitoka, si unajua jiko la mchina nimeliwasha likazipuka, vuuup!!! balaa..Weka kapicha basi kapuku
Hapo sasa...like basi ee
Ikiungua pia utuambie ili tugonge likes.![]()
Yaani hamuwezi kuamini, simu yangu imeisha chaji, ila nailetea ukauzu si kwa mapenzi haya juu yenu[emoji2] [emoji2] [emoji111]
[emoji23] [emoji23] lazima mjueIkiungua pia utuambie ili tugonge likes.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu sie ndo mabosiii wao so hawatusumbuiii haoo wanaojiitaa ma supastaaaHii inaitwa kampeni paisha makapuku,nashauri ukikuta uzi wowote kapuku amecomment gonga like mpaka hawa wanaojiona wakongwe wapige magoti.
Tunasubiri[emoji23] [emoji23] lazima mjue