Makapuku Forum

Makapuku Forum

Duuh..Naona vijana mnazidi tu kurecruit member..Sikujua kama wahanga wa dharau ni wengi hivi..

Nwei ndugu viongozi Bitoz Jimena The Name mmejiwekea mikakati gani ya kukabiliana na hili swala mnalolipigania? Au harakati zenu zinaishia kwenye uzi huu tu
Pia naamini mmeanzisha harakati hizi kwa dhumuni,lengo na nia njema..Na naona mnazidi kujizolea wafuasi wa kutosha,Basi ni vyema mkajiwekea taratibu zitakazowaongoza..Hata ikitokea mwanachama mwenzenu anazingua mnaweza kumkanya wenyewe..
Asante sana kwa pongezi zako mkuu,

Ni kweli wahanga wa hilo tatizo ni wengi sana, japo mimi kama mimi sijawahi kupata tatizo hilo moja kwa moja ila pia sifurahishwi pale mtu mwingine anapofanyiwa kitendo hicho eti kwasababu tu ye amejiunga JF 2016

Tuna nia nzuri tu, na kwa kushirikina tutahakikisha hiyo tabia inakwisha au kupungua kwa kiasi kikubwa.

Asante kwa kuguswa hope umepokea Likes za kutosha sana baada ya kukatisha anga hizi usiku wa leo[emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom