eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Tunalisongesha mkuu mshana jrLoh hii ni kapuku special thread japo haina kipini cha [emoji419] [emoji419] [emoji419]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunalisongesha mkuu mshana jrLoh hii ni kapuku special thread japo haina kipini cha [emoji419] [emoji419] [emoji419]
Teh Teh Teh Teh Teh nzakupata osieUjanja kishambaa ni uhambanyi
Sa kaboko kesiai....kimaindi
Ujanja kishambaa ni uhambanyi
Sa kaboko kesiai....kimaindi
Kama ni boxing hii ni TKOTunalisongesha mkuu mshana jr
Asante kwa kusimamia show vizuri, no vurugu.Safi sana.. Ngoja mm nijitolee kukaa Lango kuu
Sio shirki ndugu Katibu wala usiwe na wasiwasi hii lugha ya homeNyie mnafanya shirki nini😱😱
Mbona hatuwasomi?!
Jaribu tu kufuata mkondo utazoea,hata mbuyu ulianza kama mchichaHamna brother, sijakwazika.....it takes an army to envoke my anger.
Sikuliwaza hilo la lugha, ila sasa kama wameamua kufanya hivyo tutafanyaje?!😳
Nzakuelewa mghoshi.Ujanja kishambaa ni uhambanyi
Sa kaboko kesiai....kimaindi
Hili ni vuguvugu [emoji3] [emoji3]Hadi wakongwe wanatamani kurudi nyuma.[emoji3] [emoji3]
Pamoja tutashinda.
Ni ushindi uliotukuka.Na tumeshawashinda...
Naombeni likes jamani[emoji85]
Soma kwanza post#3Jamani natakakuingia sijui vigezo nimetimiza
Tena bila msaada wa JechaNi ushindi uliotukuka.
Asante kwa kurekebisha huo sasa ndio ukongwe sio mnaleta dharau mpe hai the boss lara1 ngabu salamu wafikishieNimekosea njia . ILA mnaudhi Sana asa mnapoleta uandishi wa kifacebook humu. Mfano S=X.
Lazima watakuwepo makapuku wenzetu...ila wanauchuna na kujifanya neutralHivi mods nawenyewe ni wakongwe au kuna Haata mods mmoja ambae ni kapuku?
Karibu kwenye familia ya makapuku, familia ilio tukuka. Unapata mvua ya likes mpaka unaomba poo. Hatuna dharau na ni waungwana. Sema mimi nikakaupungufu kadogo sipepelei upuuzi. Karibu sana, tunakupenda!Jamani natakakuingia sijui vigezo nimetimiza
Jaribu tu kufuata mkondo utazoea,hata mbuyu ulianza kama mchicha
Daaaa inabid nimtafute mshanajr anipe darsa kidogo nami niiiweze hii lugha Ile ya ndani ndani kabisa mlalo na vug'haNzakuelewa mghoshi.