damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Nahisi nilihakiki, hebu ngoja nicheki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi nilihakiki, hebu ngoja nicheki
Leo hatulali mpaka ifike 3kAisee kweli kazi tunayo
[emoji2] [emoji2]Hiyo Show itabidi isimamiwe na Mkuu wa kaya na si mods.
Nitakua shaidi yako.. Kila nikicheki sm nakutanata na notification zako kibao..Mimi wakwanza mkuu
Tukitoka hapa tumtafute mtaalam wa massage maana hali itakua teteLeo hatulali mpaka ifike 3k
Mkuu mimi ni addict wa JfNitakua shaidi yako.. Kila nikicheki sm nakutanata na notification zako kibao..
Asanteni sana kwa upendo wenu.Mkuu, kwa jinsi tunavyokupenda hatutaki hata unywe sumu maana tutakukosa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Tukitoka hapa tumtafute mtaalam wa massage maana hali itakua tete
Umu ndani kuna watu wagumu.. Hata mapumziko wengine amuendi
Bora jf kuliko kuishia kwenye sembeMkuu mimi ni addict wa Jf
Ndugu yangu mchango wangu hujauona bado? Thread inasonga kwa kasi ila narudi nilipoishia na kugawa likes, nimetoka kushusha makontena ya likes bandariniLikes ninatoa nyingi lakini mie napokea kidogo, ngoja nimwite mshana jr aje kuweka matunguli kwa post zangu labda mambo yanaweza kuwa mazuri.
Itakuwa wanataka kuniibia Nyota yangu.
cc: Jimena,
mshana jr,
Th Name,
damtanzania.
Au masturbationBora jf kuliko kuishia kwenye sembe
Hapo ndo nahisi kuchanganyikiwaYaani ukichelewa kama lisaa unakuta umeachwa mbali
Umu ndani kuna watu wagumu.. Hata mapumziko wengine amuendi
Mkuu hakikisha umewalipa porters woteNdugu yangu mchango wangu hujauona bado? Thread inasonga kwa kasi ila narudi nilipoishia na kugawa likes, nimetoka kushusha makontena ya likes bandarini
ndo mana hapati likes [emoji57] [emoji57]
Msiwaze, naimani hakuwa na maana mbaya sie wote ni wamoja[emoji111]Ukisha anza Ku cc kwa list wale ambao atuja appear kwenye list yako tutaogopa
Mi ilibidi nimpe MTU anishikie simuuu.... Maaana dah nlishindwa kufanya kazi....Yaani ukichelewa kama lisaa unakuta umeachwa mbali
huyo masturbation atakua hatari adi unamfananisha na sembe [emoji55]Au masturbation
[emoji3] [emoji3] [emoji3]