HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Tulisha limaliza mkuu... Ahsante kwa kujaliMsiwaze, naimani hakuwa na maana mbaya sie wote ni wamoja[emoji111]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulisha limaliza mkuu... Ahsante kwa kujaliMsiwaze, naimani hakuwa na maana mbaya sie wote ni wamoja[emoji111]
Lol....mambo gani tena hayaHata hapa kwa makapuku pia wabeba box wapo hivyo twende taratibu tafadhali
Hii kitu ni balaahuyo masturbation atakua hatari adi unamfananisha na sembe [emoji55]
Hii itakuwa poa sana................................
Birthday za MAKAPUKU zitakuwa zinasherehekewa humu....umoja ni nguvu
Ikifika siku yako unaanza tu HBD to me
.........................................
mkuu hebu tuwekee picha yake ili tuwe tunamkwepaHii kitu ni balaa
Wee EMMYGUY ni shiida, ndio kwanza niko kwenye post ya 2009 nagawa likesAnataka BUZZ ni bomba.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wamekuwa Makauzu, eti wataonekana kudhalilika kwa MAKAPUKU.Wagumu kuomba radhi wamejikausha hawafuati nyayo za mshana jr
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mkuu unanipa majaribu.mkuu hebu tuwekee picha yake ili tuwe tunamkwepa
Pamoja sana.Sawa mkuu tupo pamoja
Nimfuate PM si ndio mkuuWasiliana na Mkuu Th Name kwa usajili.
Endelea kuwasajili Mkuu, hili ni chama kubwa MAKAPUKU TEAM.Nimemuona huyo
Pamoja sanaAseee heshima kwa makapuku wenzangu wooooote juhudi zenu zimeonekana Hongereni sana na tusichoke harakati ziendeleeee
Harakati zinaendelea,daima mbele nyuma mwiko.Aseee heshima kwa makapuku wenzangu wooooote juhudi zenu zimeonekana Hongereni sana na tusichoke harakati ziendeleeee
Nimekusoma. Ngoja nikuweke kwenye listNimfuate PM si ndio mkuu
Tunatekeleza wito na tunaendelea kupambana kutetea haki zetu.Umu ndani kuna watu wagumu.. Hata mapumziko wengine amuendi
Thanks shemKaribu sana Shem wa mie.