Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuuTayari huyo. Acheck list tu
Kwanini hukuniweka? BrazaNimekusoma. Ngoja nikuweke kwenye list
Samahani sana. Ngoja nikuwekeeKwanini hukuniweka? Braza
hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeePamoja sana
Makapuku oyeeeeee
Shem habari za usikuThanks shem
te te te te vipi kapuku uliwahi na wewe kuitumia!!Hii kitu ni balaa
Tuko pamoja bila kuchokaHarakati zinaendelea,daima mbele nyuma mwiko.
Mkuu! Leo ulipotelea wapi?Asanteni sana kwa upendo wenu.
Swalama ? Brazahoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mkuu mpaka leo natumia na sina mpango wa kuacha.te te te te vipi kapuku uliwahi na wewe kuitumia!!
nimeukumbuka ule wimbo wa shemeji shemeji huku wazima taaShem habari za usiku
Hatuachi 'gepu' asee.Yaani ukichelewa kama lisaa unakuta umeachwa mbali
Nzuri shemShem habari za usiku
Hizi ndoa zimefungwa lini,naona mashemeji wamezidi.Shem habari za usiku
ha ha ha ha mshenzi wewe umesababisha nicheke kwa sauti kubwa kwenye daladala....Mkuu mpaka leo natumia na sina mpango wa kuacha.
Usisahau kupita na kwangu ili uweke alama!Ndugu yangu mchango wangu hujauona bado? Thread inasonga kwa kasi ila narudi nilipoishia na kugawa likes, nimetoka kushusha makontena ya likes bandarini
TEAM MAKAPUKU OYEEEEEEndelea kuwasajili Mkuu, hili ni chama kubwa MAKAPUKU TEAM.
Humu shemeji/wifi anajulikana mmoja ambaye ni lizziebettie huyu ni kipenzi cha moyo wanguHizi ndoa zimefungwa lini,naona mashemeji wamezidi.