Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Malizia sasa uniambie [emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia sasa uniambie [emoji2]
Usiwe na shaka mkuu,sisi mambo yetu yanaishia hapa hapa!Msianze kutafutana mtapunguza pages hapo...endeleeni kuwasiliana hapa hapa
Kweli huku ni upendo wa mbali aisee uko kwa lema hapoMi mzima. Arusha
Hapo sawa[emoji125]Usiwe na shaka mkuu,sisi mambo yetu yanaishia hapa hapa!
[emoji87] [emoji87] [emoji87]Kweli huku ni upendo wa mbali aisee uko kwa lema hapo
Sumbai jibu hili swaliAlijificha mwenewe au alifichwa?
Kufa hufi ila cha moto utakionaHaaaash!!!!! Kidole kinauma kutoa like page zote hizo mtaniua
Nafanya kazi NMB MKUU si unajua folen yake?Rafiki unakuwa adimu sana hadi unatupa mashaka!...... Ki ukweli mara nyingi unakuwa mafichoni!
Sio lupela huyu auWa kwetu huyuu erooo....
Good morning unconditionally bae
Nimeamka salama MRCute b umeamkaje bibie
Haha sisi wa hapa hapa mkuuMsianze kutafutana mtapunguza pages hapo...endeleeni kuwasiliana hapa hapa
Huu ugomvi sasa. Mimi simo![]()
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Usijali karbAiss nimekupenda bureee kusikia unapofanya kazi
Nimeogopa hadi kulike....shehe!![]()
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Asante th name.