EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,099
- 25,347
Kivipi?Bora ubaki single,mapenzi mabaya sana.
Kwani na wewe uko Single youngblood
Atupe jibu.Wewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi?Bora ubaki single,mapenzi mabaya sana.
Kwani na wewe uko Single youngblood
Atupe jibu.Wewe ndo wakumshauri ivyo!!!! Yameanza lini kuwa mabaya kwako
Nitumie jina lake nimetest kwanza[emoji85] [emoji85] nione kama anakufaa
asante sana pm.NmekaribiaKaribu sana. Mimi ndio prime minister humu. Subiri usajili wako
This weekend tufanye colabo ya burudani wine na milk stout na valuer
Hahahahaaaaa...... Watu mmepinda.When I close my eyes,
I see your face.
Uzuri wako I can't compare,
Mapenzi ya kweli kweli ndo unanipa wewe
Cc lizziebettie
Nitumie jina lake nimetest kwanza[emoji85] [emoji85] nione kama anakufaa
Mapenzi tu acha tuSawa naona unatupia mistari tu
anatafuta nini kwani???
Kuwa huru kabisa.asante sana pm.Nmekaribia
Sawa[emoji43] [emoji44]Ngedere dawa yake ni [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Msimu wa makafaraKwanini tena kaka mkubwa
Mmepinda au mmependa which is which?Hahahahaaaaa...... Watu mmepinda.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji22] [emoji26] [emoji22] [emoji26] [emoji86] [emoji86]Nahrene😳
Ubavu wakeanatafuta nini kwani???
Wewe mwenyewe tayari upo huku, haina haja ya kuzungumzia ya kule.Post nyingine zinakosa wachangiaji kwaajili yenu mmejichimbia huku mmesahau kwingine
Wa kwanza amekuja yeye wengine wafuate.Waambie waje huku.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ha ha ha mkuu kumbe huwa kuna simu maalumu ya michepuko...umenitoa tongotongo....nikianza kuchepuka nitanunua nokia tochiKwa michepuko simu niliiacha ofisini sababu yenyewe haina uwezo wa intaneti.