Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Mmh sidhani kama ninayoNaomba mashairi ya huu wimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh sidhani kama ninayoNaomba mashairi ya huu wimbo
Pamoja kakaMmh sidhani kama ninayo
Bitoz muonee huruma pnc atavunja simu
Mtu wangu yule....Bitoz muonee huruma pnc atavunja simu
Kuna Th Name & The NameThe name naomba um add Rashford awe nasi huku kwa makapuku.
GGGMU
Sidhani kama unamjua PNC 1vizuri pale UTATU MTAKATIFU unapotembezewa kichapo...Mtu wangu yule....
Keshapoa muda huu
Usijali
................
Oooh hi I simu imejicorect... ni Th Name. Pamoja BitozKuna Th Name & The Name
Tofautisha ni member wawili tofauti hapa Jf
..........................
Keshatuliza mzuka bhanaSidhani kama unamjua PNC 1vizuri pale UTATU MTAKATIFU unapotembezewa kichapo...
Utamwona hapa baada ya wiki
Umeona lakini mambo ya kijana wetu?Asante saaaaana Mr Mwanitesa United
Bwahahahaaaaaaaa, mkuuu usiseme ukweli hivyo bhanaaaa unajua ukweli unauma eeh..wameshazoea kubebwa mpaka moinzani apewe red card ndo washinde..
wakwendreeeee kabisa uko
Atajifanya hajui etiUmeona lakini mambo ya kijana wetu?
Duuu mbona sina bahati ya kuitwa hvyo na warembo kamaa nyieSawa mpenzi [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nimefurahi sana karibu sana my dear... jisikie upo nyumbani. Hamna ubaguzi hapa kila mtu starMakapuku mnatisha...nakua member rasmi
Sijamuonaa mdaa au majukumuu yamembanaaWapiii damtanzania
Juzi cr7 aliwafanya mbaya akahama jukwaa akaenda kuzini na mama mkwe kupunguza pain thatha leo hagagagagagaaaaaaaAtajifanya hajui eti