Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 6,581
- 11,572
nimejipanga kwenye 9000, ni namba yangu ya bahatiYa 7000 lazima niitupie kama kawaida yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimejipanga kwenye 9000, ni namba yangu ya bahatiYa 7000 lazima niitupie kama kawaida yangu
Siogopi ila nimevibrate!!!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] taratibu,usiogope mkuu.
watafuta kupigwa wewe si bure..Mwenye mali yupo hapa anakuangalia tuunipe pendo lolote kwa jinsi ulivyoelewa
Mwache alale akirudi akute watu wameshatupia.Bitoz njoo huku
Ni kweli. Fanya hivyo ila tutakumiss tuLeo kuna mechi kaka ntaanzaje ukiona nimepotea jua narekebishaaa
Hshhahaha inanitosha !!!ndo tatizo la kupenda vimodo ona sasa ungechagua inayokutosha vizuri wala usingepata tabu
Basi wewe ni hatari sana duh*Siogopi ila nimevibrate!!!!
Hahahaha shauri yakoMwache alale akirudi akute watu wameshatupia.
mmhh si umesema mwenyewe inakubana [emoji15] [emoji15]Hshhahaha inanitosha !!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3]nimejipanga kwenye 9000, ni namba yangu ya bahati
Bado nipo nipo kuku Wangu Manati ya Nini?[emoji133] [emoji133]Ni kweli. Fanya hivyo ila tutakumiss tu
du...mbona mm hiyo habari nyeti sinayo!!Kwani hujamuona damtanzania? Akiwepo watu hawaishiwi bundle
Inanibana kivingine si kivilee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mmhh si umesema mwenyewe inakubana [emoji15] [emoji15]
toa shilingi mkuummhh si umesema mwenyewe inakubana [emoji15] [emoji15]
Haya maneno huwa yanawaponza wengine ujueBado nipo nipo kuku Wangu Manati ya Nini?[emoji133] [emoji133]
Napita tu mimiUsijali sweet, wazoee tu.