Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Basi sawaSi ndo penyewe hapoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawaSi ndo penyewe hapoo
LakiSh ngapi?
Dm number ya kupokeaLaki
Tukaribishane mkuu.Hii ni wiki ya mwisho kuwenda ofcn ,kuanzia ijumaa mpaka january 2024 ni bata na batani
Tayari.Dm number ya kupokea
Sijaona lakiniTayari.
Kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha ameingia katika orodha ya makocha watatu wanaowania tuzo za CAF 2023 ambazo zitafanyika Jumatatu Desemba 11, mwaka huu.
Benchikha anachuana na Walid Regraui wa timu ya Taifa ya Morocco na Alidu Cisse wa Senegal.
View attachment 2835655
Hahahahaha, ungeanza wewe kukaribisha ili nijifunze watu wanakaribishwaje ,then nikukaribishe mimiTukaribishane mkuu.
HahahahahaAmepata tuzo au mchakato unaendelea?
Ila we we ,wapo wa kukukaribisha sio mimiTukaribishane mkuu.
Haiwezekani, ngoja nitume tena.Sijaona lakini
Mweeeeh sasa mie sijawahi kukaribisha. Itabidi tukaribishane ili tufundishane.Hahahahaha, ungeanza wewe kukaribisha ili nijifunze watu wanakaribishwaje ,then nikukaribishe mimi
😳😳😳😳😳😳Ila we we ,wapo wa kukukaribisha sio mimi
Hahahaha,si kweli😳😳😳😳😳😳
Hata hakuna wa kunikaribisha.
Hahahahaha,duhMweeeeh sasa mie sijawahi kukaribisha. Itabidi tukaribishane ili tufundishane.
Kweli mkuu, wewe tukaribishane tu.Hahahaha,si kweli
Hahahahahaha,duh hapanaKweli mkuu, wewe tukaribishane tu.
Why not?Hahahahahaha,duh hapana
Hahahaha, kawaida tu, hakuna tatizoWhy not?