makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mchaga wewe sasa.. 🤣😂Hapanaaaa, nipe hela🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchaga wewe sasa.. 🤣😂Hapanaaaa, nipe hela🤣🤣🤣
...hii malighafi hesabu umepata kaka maana ya msimu uliopita ndiyo namaliza kuipa madaraja. Kibebeo bei yangu ni afutatu tu hata diwani wa Mafia anajua, fanya kuituma kwenye namba zangu za kawaida🤣😂 Achana na kifungashio, leta kwenye KIBEBEO.
We fanya vyovyote korosho zije, kiwanda changu cha kuzalisha mbegu za watoto kimekaukiwa, niletee hiyo MALIGHAFI nianze uzalishaji.
....ya mungu mengi kaka, kwenye shari ya raha ukiepushwa ni karahaHuenda anakuepusha na shari. 🤣
Imeisha hiyo kaka, nakutumia aftatu mara 3, kuoneaha msisitizo kaka....hii malighafi hesabu umepata kaka maana ya msimu uliopita ndiyo namaliza kuipa madaraja. Kibebeo bei yangu ni afutatu tu hata diwani wa Mafia anajua, fanya kuituma kwenye namba zangu za kawaida
Twende wapi, hapa ndio uwanja wa nyumbani.Wow bado mumo?
Nakumbuka sana lengo la uzi huu kuanzishwa...🤗
Ya mungu mengi, ya kuku mayai.....ya mungu mengi kaka, kwenye shari ya raha ukiepushwa ni karaha
....ha hahahaha. Asante kwa kupita kutujulia khaliWow bado mumo?
Nakumbuka sana lengo la uzi huu kuanzishwa...🤗
Simkuwadiii maka akeee ila nimeona vile tabia zao zinaendana [emoji1787]Shunie akee unamkuwadia mai waifu kwa ndugu yangu.
We kiama itabidi uchomwe kwa makaa ya mawe. [emoji1787][emoji23]
Ebu ukoooo [emoji1787]Yalopita si ndwele, twaganga yajayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]