Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 kwendaaaa![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani huyo?
Wewe ni shunie?Kitu gani?
HahahahahaWewe ni shunie?
Ukihitajika utaitwa....Tulia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aahh.. Hata kichuoa kijae vipi, haiwezekani nimuinamishe mtoto wa mtu na joto hili.. Aidha kuwe na kahali kahewa rafiki au kwenye A.CMna moyo sana kwakweli
[emoji120][emoji3059]Amen Mjukuu, nafurahi kuona vile unatusaidia hadi sisi wa huku Vijijini kupata habari [emoji120][emoji120]
Babu leo nafarijika sana sanaa [emoji120][emoji120] babu sio lazima nize jirani mitandao siku hizi imerahisisha kila kitu unaweza tu kunitumia nilipo nikanywa tu babu [emoji1787] asiione auntie yangu AtotoHuwa napita na kusoma kimya kimya almost kila siku, kuna siku nimepita saa 10 alfajiri nikakuta umepost tayari.... unajitahidi sana kwa kweli
Sio wote wanaweza kufanya hicho unachofanya, na ingekuwa tupo jirani ungekunywa soda kwa bili yangu leo [emoji847]
Very proud of you [emoji122]
We mzee ebu nini unacheka eti jamaniiHahahaha
[emoji1787]Mkuu una cheka ya kifedha sana, unanikumbusha mwaka 1982 nilipouza ng'ombe zangu na kulipwa shilingi 1,825 nilikuwa nacheka kama wewe ufanyavyo...
Hahahaha...
Auntie nilikumiss bado kidogo tu nikucheck tu whatsaappHatimae ulifufuka[emoji1787]
[emoji1787] na ubahili huo hutaweza nunua auntie yangu labda ununuliweHii S23 ultra naitamaniii
[emoji1787]Kitu gani?
[emoji1787] anataka Samsung ultra23 labda tuchange me na we auntie tumnunulieWewe ni shunie?
Tulia....Ukihitajika utaitwa....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhana....Ebu niambie nini umeona auntie yangu na me nione
Mwambie Samsung Ultra24 inatoka soon...[emoji1787] anataka Samsung ultra23 labda tuchange me na we auntie tumnunulie
Jamanii auntie si useme sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhana....
Nitasema.
[emoji1787] kwakweli maana ye mwenyewe hataweza anachoweza ni kujinunua wereva zake tuMwambie Samsung Ultra24 inatoka soon...
Tutachanga tumnunulie hiyo Auntie.