Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwendaaaaa🤣Wewe ni shunie?
Tulia....Ukihitajika utaitwa....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendaaaaa🤣Wewe ni shunie?
Tulia....Ukihitajika utaitwa....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie hata motoni mtapeta tu.Aahh.. Hata kichuoa kijae vipi, haiwezekani nimuinamishe mtoto wa mtu na joto hili.. Aidha kuwe na kahali kahewa rafiki au kwenye A.C
Mwambie atume kwangu nitakuletea🤣🤣🤣Babu leo nafarijika sana sanaa [emoji120][emoji120] babu sio lazima nize jirani mitandao siku hizi imerahisisha kila kitu unaweza tu kunitumia nilipo nikanywa tu babu [emoji1787] asiione auntie yangu Atoto
Nachojua hukunichekiğŸ˜ğŸ˜ğŸ˜Auntie nilikumiss bado kidogo tu nikucheck tu whatsaapp
Na kuna hati hati nikinunuliwa nikaiuzaaa then nikanunua tekno 🤣🤣🤣[emoji1787] na ubahili huo hutaweza nunua auntie yangu labda ununuliwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata sijui nacheka niniMwambie atume kwangu nitakuletea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani jana sijui nini nilijisahau lakini kweli nilitaka nikucheck auntie yangu kwema mbona sikuoni makapuku jamaniii nisamehe mimi kwa kuwa na mambo mengiNachojua hukunicheki[emoji24][emoji24][emoji24]
🤣🤣🤣🤣[emoji1787] anataka Samsung ultra23 labda tuchange me na we auntie tumnunulie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakuelewa vyediii auntie hushindwiiiiNa kuna hati hati nikinunuliwa nikaiuzaaa then nikanunua tekno [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatutakiii.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bhana....
Nitasema.
Aah wapiiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipeni hela ninunue mwenyewe
Nipeni helaa nitanunua mwenyewe🤣🤣Mwambie Samsung Ultra24 inatoka soon...
Tutachanga tumnunulie hiyo Auntie.
Ninayo hii inajizimikia tu yenyewe ikijisikia, ina miaka 6.[emoji1787] kwakweli maana ye mwenyewe hataweza anachoweza ni kujinunua wereva zake tu
Uliongezeka wapi huko?Pengine hukulishuhudia hilo katika shughuli zako za kila siku, lakini takwimu zinaonyesha mzunguko wa fedha ulikuwa mkubwa mwaka 2023 ikilinganishwa na mwaka 2022.
Kati ya Januari hadi Novemba 2023 kulikuwa na mwenendo chanya wa mzunguko wa fedha na wastani kulikuwa na ongezeko la asilimia 13.8.
Hii maana yake ni kuwa vyuma vililegea zaidi mwaka 2023, kwani ripoti ya Benki kuu ya Tanzania (BOT) inaonyesha Novemba 2023, jumla ya fedha zilizokuwa kwenye mzunguko wa uchumi ndani ya nje (M3) zilikuwa na thamani ya Sh43.58 trilioni ikilinganishwa na Sh38.33 trilioni kipindi kama hicho mwaka 2022.
View attachment 2869710