Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anifiche nani mie mamsapu na unajua wazi kabisa nikipotea basi nipo nazisaka.Aaah we! Umefichwa hukoo then unakuja kunipanga hapa🙆🙆
Unisaidie majukumu kwani aliyekwambia nimeshindwa nani, kaa mbali na mamsapu wangu.Mkuu mbona umelipuka?
Kwani baby ina maanisha nini hasa?
Kuwa mpole tukusaidie majukumu🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
...nakuunga mkono mdau.Mkuu mbona umelipuka?
Kwani baby ina maanisha nini hasa?
Kuwa mpole tukusaidie majukumu🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Nipo hukuuu nyumbani.
Zisake baba maana napenda pesa balaa 😍😍😍Anifiche nani mie mamsapu na unajua wazi kabisa nikipotea basi nipo nazisaka.
Shemeji unachochea nini sasa?...veteran umepigwa tukio!!? Kaa kwa kutulia, ndugu yako najipanga
🤣🤣🤣 Shemeji kwani umeibukia wapi!!...nakuunga mkono mdau.
![]()
🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
...hapana shem, sichochei, nachocheza maana ndugu yangu huyu alinyamaza kimya wakati naachwaShemeji unachochea nini sasa?
,,,,nilienda kutafuta ukweli, kama ni kustaafu na mimi bado miaka miwili nistaafu tena kwa kikokotoo kipya. Simu zangu hazipokelewi🤣🤣🤣 Shemeji kwani umeibukia wapi!!
🤣🤣🤣🤣🤣...hapana shem, sichochei, nachocheza maana ndugu yangu huyu alinyamaza kimya wakati naachwa
🤣🤣🤣 Eehee lete habari sasa, kipi kimejiri?,,,,nilienda kutafuta ukweli, kama ni kustaafu na mimi bado miaka miwili nistaafu tena kwa kikokotoo kipya. Simu zangu hazipokelewi