Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo bwana, pilika tu za hapa na pale kusogeza siku ndugu yangu , nafurahi kwa uzima wako.Niko poa kabisa, umejificha wapi?
Nikaribie wapi?Nipo bwana, pilika tu za hapa na pale kusogeza siku ndugu yangu , nafurahi kwa uzima wako.
Karibuu.
Ninacho kula na kunjwa karibuuNikaribie wapi?
Unakula na kunywa nini?Ninacho kula na kunjwa karibuu
Nimemaliza bwana, ilikua ni soda na ndiziUnakula na kunywa nini?
Soda usiku!!Nimemaliza bwana, ilikua ni soda na ndizi
Ilikuwa sio usiku muda ule na bwana.Soda usiku!!
Haya bwana.
Unakesha wapi tena?Ilikuwa sio usiku muda ule na bwana.
Karibu tukeshe.
Hapa hapa tu pa jana na leoUnakesha wapi tena?
Mwigizaji wa Pirates of the Caribbean Tamayo Perry amefariki Dunia baada ya kushambuliwa na papa kwenye pwani ya Hawaii alipokuwa anakula bata na marafiki zake.Ufafanunuziii pleaseeee aliuawa vipiiii alikuwa kwenye kuigiza au vipi
Acha kukesha bwana!Hapa hapa tu pa jana na leo
Mwigizaji wa Pirates of the Caribbean Tamayo Perry amefariki Dunia baada ya kushambuliwa na papa kwenye pwani ya Hawaii alipokuwa anakula bata na marafiki zake.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 49 amefariki jumapili mchana. Madakari kwenye hospitali moja huko Honolulu wamethibitisha kwenye mkutano na waandishi habari.
Huduma za dharula ziliitwa mnamo saa 7:00 mchana kwenye ufukwe wa Malaekahana.
Pamoja na kuigiza lakini pia Perry anafanya kazi ya uokoaji kwenye ufukwe huo.
BBC
Kesheni kwa maana hamjui siku wala saa.Acha kukesha bwana!