Makarani wa Sensa si mmepewa hela ya kula? Kwanini mida ya saa 7 hadi Saa 9 mnapenda kung'ang'ania katika nyumba moja tu?

Makarani wa Sensa si mmepewa hela ya kula? Kwanini mida ya saa 7 hadi Saa 9 mnapenda kung'ang'ania katika nyumba moja tu?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.
 
Tusiwe na roho za kwanini. Mpe karani hata matunda,maji ya kunywa sio wote waliopata malipo wapo ambao hawajaliowa au wamelipwa ila wana changamoto kali za kiuchumi.
Basi madam leo natoka job saa 10 namkuta karani. Alikuja mara ya kwanza akakuta sipo akawa anamuhoji mpangaji mwenzangu aliekua amemsimamia mlangoni kwake. Nikamwambia ukimaliza na mimi bro sijahesabiwa. Nikaingia ghetto kwangu.

Jamaa alivomalizana na yule akaja kwangu. Sema sikua na msosi ila nikamtoa juice takeaways mbili ainjoy.

Maswali clean ushirikiano nimempa A+

Hii hali ninayoisikia leo ni kama ile niliyoisikia October 25 nilivyopiga kura. Najiona Mtanzania aisee.

Na mimi nilimuuliza maswali mawili matatu, jamaa ni mwanachuo 2nd year kwahiyo ukipima unajua anamaisha ya kawaida tu kma asilimia kubwa yetu.
 
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.
Huyo karani bila shaka atakuwa ni bibie GENTAMYCINE
 
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.

Rudi nchini kwenu utakuwa mhutu wewe, watanzania hawana roho hiyo

Chakula ndo kinakufanya uje kufungua uzi?
 
Jambo zuri sana Mad max. Barikiwa sana. Wengi ni vijana wenye maisha ya kawaida,hii posho tunayoisoma kuwa wanapewa hawalipwi kila siku. Hapo walipo wanatumia posho za kwenye semina wakimaliza kazi ndipo watalipwa napo kama huyo mwanafunzi hio ni ada au mtaji wa biashara
Basi madam leo natoka job saa 10 namkuta karani. Alikuja mara ya kwanza akakuta sipo akawa anamuhoji mpangaji mwenzangu aliekua amemsimamia mlangoni kwake. Nikamwambia ukimaliza na mimi bro sijahesabiwa. Nikaingia ghetto kwangu.

Jamaa alivomalizana na yule akaja kwangu. Sema sikua na msosi ila nikamtoa juice takeaways mbili ainjoy.

Maswali clean ushirikiano nimempa A+

Hii hali ninayoisikia leo ni kama ile niliyoisikia October 25 nilivyopiga kura. Najiona Mtanzania aisee.

Na mimi nilimuuliza maswali mawili matatu, jamaa ni mwanachuo 2nd year kwahiyo ukipima unajua anamaisha ya kawaida tu kma asilimia kubwa yetu.
 
Huyu jamaa atakua anaishi Dar , Pia nahisi ana Schizophrenia ! usikute alikua anakula wali na mchuzi wa Broiler .
Mwanaume ukiwa mchoyo kwenye familia unampa tabu Mke,
Hata mtu akija kuomba chumvi , inabidi wife akapate ruhusa kwa mzee baba kwanza .
 
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.
Itabidi mda wa kula wawe wanastopisha kazi au wakikuta watu wanakula wanaondoke warudi baadae ili wasionekane wamekuja kudoea msosi😂😂😂
 
Mtoa mada tuasidie hili swali ?
FB_IMG_16613721935433324.jpg
 
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.
Kazi kazi😂
 
Na gia yenu Kubwa hiyo Mida huwa mnajifanya Vishkwambi vyenu vimeisha Chaji hivyo mnaomba mvichaji kumbe Timing yenu Kuu huwa ni Kuwepo katika Ratiba zetu za Kula mkijua kuwa Watanzania ni Wakarimu hivyo mtakaribishwa na mtakula tu.

Kuna Mwenzenu leo kajua kwanini Nyoka hana Ugoko au kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo baada ya kuja na hii Mbinu ambapo muda wa Kula ulipofika nikaomba Mjuba wa Kipemba Nungwi Nitengewe Chakula changu Mwenyewe na akawa ananiangalia kwa Huruma ila Nikala hadi mwisho na Yeye akaishia tu Kunikodolea.

Baadae nikaona kaja Mwenzake Mmoja na nikamsikia akiniteta kuwa Nimekaza sana hata sijamkaribisha Chakula na Mwenzake nae akanitizama kwa Kuibia ibia na kumsikia akisema kwa Sura yangu ilivyo ya Kikauzu ( Ngumu ) hata kama ningemkaribisha hicho Chakula kingegoma kupita Kooni Kwake na angekitapika hivyo ashukuru tu Mwenyezi Mungu.

Yaani kila Siku nasikia Makarani wa Sensa mnapewa Shilingi Elfu Arobaini na Tano ( Tsh 45,000/= ) Hela ya Chakula ikiwemo halafu bado mnataka Kudoea Vyakula vyetu Sisi Hustlers ili mteleze tu katika Ganda la Ndizi kisha mkajisifu.
Unafanya choyo ya chakula?!!!
Inaonekana hujitambui.
 
Back
Top Bottom