Makarani wa Sensa si mmepewa hela ya kula? Kwanini mida ya saa 7 hadi Saa 9 mnapenda kung'ang'ania katika nyumba moja tu?

We kama unaweza kuwapa msosi wape kama mchoyo tulia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Safi Sana mkuu
 
Daaah ushamba mzigo, sasa wewe kama ulikosa kazi ya sensa usitumie kigezo cha kusema wenzako wana njaa.

Kwani walikuomba chakula??? Ebu wape data waondoke.
 
Gentamycine una ID nyingi sana hapa JF

Hata hii ni yako

Mkuu uandishi wako ni wa aina moja ndio maana tunakutambua

Tumia ID ya Gentamycine inakufaa tu

Hizi ID unajiabisha
 
Kwangu karani alikuja jana saa moja na nusu usiku...

Pisi moja ya makamo tu... amenihesabu huku tukipata dinner...
 
Gentamycine una ID nyingi sana hapa JF

Hata hii ni yako

Mkuu uandishi wako ni wa aina moja ndio maana tunakutambua

Tumia ID ya Gentamycine inakufaa tu

Hizi ID unajiabisha
Pumbavu MImi ni MINOCYCLINE na si huyo Mume Wenu mnaempenda na Kumshobokea Kutwa.

Nimewachoka sasa kila mara Kunihusisha nae wakati ukweli wa 100% Mimi siyo Yeye na Yeye siyo Mimi.

Mnakera!!!!
 
Tanzania ni Nchi yenye chakula cha kutosha sana ila kila kukicha wahuni mnamindi sana lishe kama vile tupo Nchi zenye ukame ni ngumu kupata maendeleo kama kwako ishu ya chakula ni kipengele hata kama kipo muda wote unawaza chakula tuu..tuondokane na hii dhana ya chakula chakula
 
Tanzania inasifika kwa ukarimu ila sasa makarani nao wasitake kutengeneza mazingira ya kukushawishi ili wapate msosi wa bure, ya nini ujibaraguze kwa watu ili upate msosi wa bure ilhal Kuna wali hata wa buku na jero tu mtaani, usitarajie kupata Chochote pindi uwatembeleapo strangers...huyo kafundishwa kuwa hakuna chakula cha bure kwa mwanaume mwenye nguvu na akili
 
Acha uchoyo na wivu mkuu. Wape msosi waupigeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wimbo wa Taifa hauna collabo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…