Makarani waislamu wa tume ya katiba wanachakachua maoni ya wakristo.

Makarani waislamu wa tume ya katiba wanachakachua maoni ya wakristo.

Status
Not open for further replies.

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
639
Kumekuwako taarifa zinazozagaa kwa kasi ya ajabu kuwa makarani wa tume ya katiba wanaodaiwa kuiwa ni wengi wa dini ya kiislamu wamekuwa wakichakachua maoni ya wanachi hasa wakristo wanaopinga uwepo wa mahakama ya kadhi na tanzania kuwa nchi ya kiislamu.aidha ujumbe mfupi wa maandishi yaani sms umekuwa ukisambazwa kwa kasi na unasomeka hivi,"pigo kwa kanisa,makatibu wa tume ya katiba ni waislamu,wamechakachua maoni ya wakristo waliopinga mahakama ya kadhi na kubakisha mwanza na mbeya,mikoa iliyobaki wanahitaji mahakama ya kadhi,tujipange kwenye kura za maoni kuikataa rasimu ya katiba.je, haya yana ukweli wa aina yoyote? Je ni madai ya msingi? Kama ni kweli mustkabali wa taifa upo salama?kama ujumbe huu umewafikia wahusika wa tume kuna haja ya kuchunguza na kuchukua hatua?tujadili.
 
Tume ya katiba mpya lile ni baraza la maimamu,tusitegemee jipya..mbona wenye kuona mbali swala la katiba mpya ni kiini macho.
 
kwa jinsi roho za waislam zilivyo mbaya wanaweza kabisa kufanya hayo yaliyosemwa katika ujumbe huo,lakini kwa sababu kwa sms hiyo inayosambazwa WAKRISTO hawataandamana wala hawatasema nchi INAENDESHWA KWA MFUMO ISLAMU kama wao wanavyolalamika kama ingekuwa inawahusu,basi WATU WA MUNGU(WAKRISTO) kwa upole huwa wanasema maneno yafuatayo:-
1-EEH MWENYEZI MUNGU WASAMEHE KWA MAANA HAWAJUI WALITENDALO
2-WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA
3-MUNGU NDIYE MWAMUZI WA YOTE
4-MUNGU HAMTUPI MJA WAKE
hamtakuja kusikia msikiti wowote umechomwa wala mabanda ya ngamia(mnyama haramu ambaye wao wanamla na kumpenda sana kama nguruwe wanavyoipenda nyama yake japo wanajifanya wanamchukia mcha usiku wanamla) yamevunjwa,pia hakuna askofu au mchungaji yeyote atakayeitisha press conference kama walivyofanya magaidi akina PONDA NA FARIDA...
naomba kuwasilisha
 
Una uhakika wewe au unataka tujadili utumbo usio na maana?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
hii kama nikweli itakuwa hatari sana,itasababisha katiba isipatikane
 
mshaanza maneno ya hovyo mbona ha2semi kuhusu m.o.u ,ubaloz wa vatkan pia wajumbe wa tume ya katba wa bara mbona wakristo ni weng?. ukitoa maoni unarekodiwa achen ujnga huo
 
TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
(Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83,
Toleo la 2012, Vifungu 5, 6 na 7).

Rais Jakaya Kikwete ameitangaza Tume hii Aprili 7 mwaka 2012.
______________________________
UONGOZI WA JUU


1.Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA- Mwenyekiti

2.Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino
RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.Prof. Mwesiga L. BAREGU

2.Nd. Riziki Shahari MNGWALI

3.Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI

4.Nd. Richard Shadrack LYIMO

5.Nd. John J. NKOLO

6.Alhaj Said EL- MAAMRY

7.Nd. Jesca Sydney MKUCHU

8.Prof. Palamagamba J. KABUDI

9.Nd. Humphrey POLEPOLE

10.Nd. Yahya MSULWA

11.Nd. Esther P. MKWIZU

12.Nd. Maria Malingumu KASHONDA

13.Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)

14.Nd. Mwantumu Jasmine MALALE

15.Nd. Joseph BUTIKU

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA- ZANZIBAR


1.Dkt. Salim Ahmed SALIM

2.Nd. Fatma Said ALI

3.Nd. Omar Sheha MUSSA

4.Mhe. Raya Suleiman HAMAD

5.Nd. Awadh Ali SAID

6.Nd. Ussi Khamis HAJI

7.Nd. Salma MAOULIDI

8.Nd. Nassor Khamis MOHAMMED

9.Nd. Simai Mohamed SAID

10.Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA

11.Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN

12.Nd. Suleiman Omar ALI

13.Nd. Salama Kombo AHMED

14.Nd. Abubakar Mohammed ALI

15.Nd. Ally Abdullah Ally SALEH

UONGOZI WA SEKRETARIETI

1.Nd. Assaa Ahmad RASHID- Katibu
2.Nd. Casmir Sumba KYUKI- Naibu Katibu


Source: ORODHA YA MAJINA YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA - .
 
this thread is nothing than pre emptive strategies against kadhi courts. kama waislam wanaihitaji mimi sina tatizo nazo
 
Udini udini udiniii! Kama hao makarani wamefanya hivyo ni kosa kubwa,na kama ni uzushi walaaniwe hao wazushi. Suala la dini halipaswi kuwa chini ya serikali.
 
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeundwa kwa mujibu wa kifungu cha 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83. Jukumu kuu la Tume ni kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi kuhusu kupatikana Katiba Mpya. Tume pia inatekeleza majukumu mengine yafuatayo:-


a) Kuandaa na kuendesha programu za kuelimisha umma;
b) Kuitisha na kusimamia mikutano na mabaraza ya katiba;
c) Kutathmini na kuchambua maoni ya wananchi;
d) Kupitia na kuchambua michango, mawazo, maoni, taarifa na mapendekezo yaliyokusanywa na
kufanyiwa tathmini siku za nyuma;
e) Kupitia na kutafiti usahihi na ulinganifu wa masharti ya kikatiba yanayohusu mamlaka ya wananchi,
mifumo ya kisiasa, demokrasia, utawala wa sheria na utawala bora;
f) Kumuomba mtu yeyote kufanya majadiliano na Tume au kuwasilisha nyaraka kuhusu mabadilioko ya Katiba;
g) Kuchapisha Rasimu ya Katiba katika Gazeti la Serikali na magazeti mengine ili kutoa fursa kwa wananchi kusoma
na kutoa maoni zaidi kwa Tume kupitia mabaraza ya Katiba;
h) Kutayarisha na kuwasilisha ripoti kwa kila hadidu ya rejea; na
i) Kuwasilisha Rasimu ya Katiba katika Bunge Maalum la Katiba

Source: Kuhusu Tume
 
Hizi ni habari za kiuchochezi kabisa. mnaona hali sasa imeanza kuwa tulivu mnaleta uzushi. kwani hizo taarifa zinapoandikwa hazisomwi na wengine wakiwepo wakristo? Je mbona waislamu hawalalamiki kuwa viongozi wakuu yaani katibu na mwenyekiti wote kuwa wakristo? Inamaana nao hawajui kinachoandikwa? Acheni uzushi bwana
 
kwa jinsi roho za waislam zilivyo mbaya wanaweza kabisa kufanya hayo yaliyosemwa katika ujumbe huo,lakini kwa sababu kwa sms hiyo inayosambazwa WAKRISTO hawataandamana wala hawatasema nchi INAENDESHWA KWA MFUMO ISLAMU kama wao wanavyolalamika kama ingekuwa inawahusu,basi WATU WA MUNGU(WAKRISTO) kwa upole huwa wanasema maneno yafuatayo:-
1-EEH MWENYEZI MUNGU WASAMEHE KWA MAANA HAWAJUI WALITENDALO
2-WATASHINDANA LAKINI HAWATASHINDA
3-MUNGU NDIYE MWAMUZI WA YOTE
4-MUNGU HAMTUPI MJA WAKE
hamtakuja kusikia msikiti wowote umechomwa wala mabanda ya ngamia(mnyama haramu ambaye wao wanamla na kumpenda sana kama nguruwe wanavyoipenda nyama yake japo wanajifanya wanamchukia mcha usiku wanamla) yamevunjwa,pia hakuna askofu au mchungaji yeyote atakayeitisha press conference kama walivyofanya magaidi akina PONDA NA FARIDA...
naomba kuwasilisha

we mkalee na ujumbe uwafikie wazee wa uhamsho
 
shura ya maimamu hiyo
TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
(Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83,
Toleo la 2012, Vifungu 5, 6 na 7).

Rais Jakaya Kikwete ameitangaza Tume hii Aprili 7 mwaka 2012.
______________________________
UONGOZI WA JUU


1.Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA- Mwenyekiti

2.Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino
RAMADHANI - Makamu Mwenyekiti

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.Prof. Mwesiga L. BAREGU

2.Nd. Riziki Shahari MNGWALI

3.Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI

4.Nd. Richard Shadrack LYIMO

5.Nd. John J. NKOLO

6.Alhaj Said EL- MAAMRY

7.Nd. Jesca Sydney MKUCHU

8.Prof. Palamagamba J. KABUDI

9.Nd. Humphrey POLEPOLE

10.Nd. Yahya MSULWA

11.Nd. Esther P. MKWIZU

12.Nd. Maria Malingumu KASHONDA

13.Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)

14.Nd. Mwantumu Jasmine MALALE

15.Nd. Joseph BUTIKU

WAJUMBE KUTOKA TANZANIA- ZANZIBAR


1.Dkt. Salim Ahmed SALIM

2.Nd. Fatma Said ALI

3.Nd. Omar Sheha MUSSA

4.Mhe. Raya Suleiman HAMAD

5.Nd. Awadh Ali SAID

6.Nd. Ussi Khamis HAJI

7.Nd. Salma MAOULIDI

8.Nd. Nassor Khamis MOHAMMED

9.Nd. Simai Mohamed SAID

10.Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA

11.Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN

12.Nd. Suleiman Omar ALI

13.Nd. Salama Kombo AHMED

14.Nd. Abubakar Mohammed ALI

15.Nd. Ally Abdullah Ally SALEH

UONGOZI WA SEKRETARIETI

1.Nd. Assaa Ahmad RASHID- Katibu
2.Nd. Casmir Sumba KYUKI- Naibu Katibu


Source: ORODHA YA MAJINA YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA TANZANIA - .
 
Tume ya katiba mpya lile ni baraza la maimamu,tusitegemee jipya..mbona wenye kuona mbali swala la katiba mpya ni kiini macho.

kuna mwana siasa aliiponda mapema kabisa akaambiwa mdini leo yako wapi..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom