Makarani waislamu wa tume ya katiba wanachakachua maoni ya wakristo.

Makarani waislamu wa tume ya katiba wanachakachua maoni ya wakristo.

Status
Not open for further replies.
Endapo Wakristo watalalamikia tume ya ukusanyaji maoni na kusema yanachakachuliwa kwa kuwa waislam ni wengi nitawaona wapuuzi.Mbona hawakuikataa wala kuweka shaka kwenye tume baada ya Rais Kikwete kuteua wajumbe? Mbona Mzee Mtei alipotilia shaka uwiano wa kidini kwa wajumbe wa tume hamkumuunga mkono? Hii inamaanisha kwamba malalamiko kama hayo yakitolewa ni ujinga na hata tume ikitathmini na kuona wananchi wengi waliitaka mahakama ya kadhi huo ndiyo utakuwa ukweli mtupu. Kama ni lawama tujibebeshe Wakristo wenyewe na siyo kuwatuhumu ndugu zetu Waislamu walioko kwenye tume kitu ambacho ni kujengeana chuki zisizo na maana. Tumsifu Yesu Kristo...Milele Amina.
 
Ubalozi wa Iran mbona upo hapa Tz. Iran nayo ni inchi ya Kikristu? Hebu acheni umbumbumbu nendeni shule.
 
Elimu ndogo nayo ni tatizo kwa wanaopenda kubishania mambo ya udini.
 
Jana nilipost hapa kuonesha kuwa tume ya katiba wengi ni waislamu,MOD akaitupilia mbali post yangu baada ya member mmoja kusema ninaleta udini,nashindwa kuelewa kama Mod nao wana ushabiki wa dini!
 
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.Prof. Mwesiga L. BAREGU

2.Nd. Riziki Shahari MNGWALI

3.Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI

4.Nd. Richard Shadrack LYIMO

5.Nd. John J. NKOLO

6.Alhaj Said EL- MAAMRY

7.Nd. Jesca Sydney MKUCHU

8.Prof. Palamagamba J. KABUDI

9.Nd. Humphrey POLEPOLE

10.Nd. Yahya MSULWA

11.Nd. Esther P. MKWIZU

12.Nd. Maria Malingumu KASHONDA

13.Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR

14.Nd. Mwantumu Jasmine MALALE

15.Nd. Joseph BUTIKU

Waislamu wa Tanganyika tumepunjwa katika mgao wa hizi nafasi achilia mbali kuwa Mwenyekiti na Makamu wake ni Wakristo.
 
Hapa Tukiuendekeza Udini Naona Kuna Hatari Kubwa Mbele Yetu Kama Yale Ya Naijeria
Lakini Kwa Hali Inavyoonekana Awamu Hii Kuna Hali Ya Wazi Kuonyesha Dini Fulani Inatumia Mwanya Wa Uongozi Uliopo Kujiimarisha Mfano
Migawanyo Ya Nafasi Za Juu Serikalini, Chuo Kikuu Dodoma, Katiba, Ndani Ya Nec, Watanzania Tusijenge Tabaka La Udini Litatumaliza Bora Tuendelee Kuwa Na Katiba Isiyotambua Dini Fulani Asanteni
 
mshaanza maneno ya hovyo mbona ha2semi kuhusu m.o.u ,ubaloz wa vatkan pia wajumbe wa tume ya katba wa bara mbona wakristo ni weng?. ukitoa maoni unarekodiwa achen ujnga huo
we ni mpuuzi mkubwa huna hoja ubarozi wa vaticani je?ubarozi wa irani soud arabia
 
WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.Prof. Mwesiga L. BAREGU

2.Nd. Riziki Shahari MNGWALI

3.Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI

4.Nd. Richard Shadrack LYIMO

5.Nd. John J. NKOLO

6.Alhaj Said EL- MAAMRY

7.Nd. Jesca Sydney MKUCHU

8.Prof. Palamagamba J. KABUDI

9.Nd. Humphrey POLEPOLE

10.Nd. Yahya MSULWA

11.Nd. Esther P. MKWIZU

12.Nd. Maria Malingumu KASHONDA

13.Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR

14.Nd. Mwantumu Jasmine MALALE

15.Nd. Joseph BUTIKU

Waislamu wa Tanganyika tumepunjwa katika mgao wa hizi nafasi achilia mbali kuwa Mwenyekiti na Makamu wake ni Wakristo.

Mkuu Sideeq, Mwenyekiti na makamu wake wote kuwa wakristu inawasaidia nini wakristu?
 
Last edited by a moderator:
Kumekuwako taarifa zinazozagaa kwa kasi ya ajabu kuwa makarani wa tume ya katiba wanaodaiwa kuiwa ni wengi wa dini ya kiislamu wamekuwa wakichakachua maoni ya wanachi hasa wakristo wanaopinga uwepo wa mahakama ya kadhi na tanzania kuwa nchi ya kiislamu.aidha ujumbe mfupi wa maandishi yaani sms umekuwa ukisambazwa kwa kasi na unasomeka hivi,"pigo kwa kanisa,makatibu wa tume ya katiba ni waislamu,wamechakachua maoni ya wakristo waliopinga mahakama ya kadhi na kubakisha mwanza na mbeya,mikoa iliyobaki wanahitaji mahakama ya kadhi,tujipange kwenye kura za maoni kuikataa rasimu ya katiba.je, haya yana ukweli wa aina yoyote? Je ni madai ya msingi? Kama ni kweli mustkabali wa taifa upo salama?kama ujumbe huu umewafikia wahusika wa tume kuna haja ya kuchunguza na kuchukua hatua?tujadili.



Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Mbona hili jambo la mahakama ya Kadhi linakuzwa kuliko lipasavyo. Mahakama za hivi ( za kiislamu au dini nyinginezo ) ziko nchi nyingi na sinarahisisha sana watu kupata ufumbuzi wa matatizo yao ya kisheria. Hizi ni kama vyombo vya upatanishi au ufumbuzi. Kwanza hazihukumu mtu ambaye hataki kuhukumiwa nazo, hazihukumu watu wa dini au mila nyingine tofauti nazo. zinarahisisha na kupunguza gharama za mahakama sababu waumini wote watakubali uamuzi bila mapingamizi. Na mahaka hizi zaidi sinashughlikia kesi za kifamilia kama urithi, kuachika, haki za malezi n.k. Hazijihusishi na kesi za jinai.
 
M/kiti na makamu ni 'mafigures' tu.Nilivyoona makatibu wooote ni waislam nikajua Rais JK anaandaa OIC&mahakama ya kadhi.
 
mshaanza maneno ya hovyo mbona ha2semi kuhusu m.o.u ,ubaloz wa vatkan pia wajumbe wa tume ya katba wa bara mbona wakristo ni weng?. ukitoa maoni unarekodiwa achen ujnga huo
ndo ushasema sasa
 
Nimegundua tume ilikosewa.ilitakiwa iundwe na wapagani tupu ili kuepusha fitna za kijinga.
 
mnataka kuwatibua waislam baadae waje wariack mseme mengine zaidi

Waislam siyo Mungu ni binadam kama sisi,katika swala la ku react hata sisi tunaweza maana ni binadam kama wao lakini maadili yetu haya ruhusu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom