Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Private sector wanajua kucheza na hizo number. Na wanagawa mshahara wao katika Mafungu kama Transport, house allowance na pia sehemu nilipo Mimi bima haikatwi kwenye mshahara, lkn pia transport na house allowance & meal allowance tare 15 na unaandika barua kuziomba nahazikatwi kodi na mara nyingi Huwa wanaweka asilimia ya 50 ya mshahara wako au 60 katika transport,house allowance & meal allowance. Halafu asilimia 40 au 50 iliyobaki ndio wanaweka kama Gross nandio yakatwa Kodi. Lakini ni taasisi za private zinazojielewa.
Asante sana ,nimekupata vyema
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Kwenye mahesabau umekosea, All in all mwisho wa siku net amount ni 500k na kidogo sana.

Jana nilipandisha Uzi wa kuwashauri vijana wasichague kozi za ualimu.

Kwa kweli ualimu sio kazi kwa TANZANIA.

Ni kheri utoke form six uende ukajifunze kutengeneza magari au pilipili gereji kuliko kwenda kusomea you upumbavu huu.

.kwa tuliopoteza muda wetu tukasoma ujinga huu, tunawatakia kheri sana madogo zetu


Muda wa kuukataa ualimu ni sasa wakati unachagua vyuo, ukibugi hapa utapata Majuto maisha yako yote
KATAA UALIMU 😂😂 NI UMASKINI WA KUJITAKIA
 
Kwenye mahesabau umekosea, All in all mwisho wa siku net amount ni 500k na kidogo sana.

Jana nilipandisha Uzi wa kuwashauri vijana wasichague kozi za ualimu.

Kwa kweli ualimu sio kazi kwa TANZANIA.

Ni kheri utoke form six uende ukajifunze kutengeneza magari au pilipili gereji kuliko kwenda kusomea you upumbavu huu.

.kwa tuliopoteza muda wetu tukasoma ujinga huu, tunawatakia kheri sana madogo zetu


Muda wa kuukataa ualimu ni sasa wakati unachagua vyuo, ukibugi hapa utapata Majuto maisha yako yote
KATAA UALIMU 😂😂 NI UMASKINI WA KUJITAKIA
Wewe utaleta balaa, CCM watatoa wapi wasimamizi wa uchaguzi?
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Hose rent
Electricity
Transport
Water bills
Internet charges
Food
Family
 
Mimi bima tu ni zaidi ya milioni wanakata
𝑾𝒆 𝒋𝒂𝒎𝒂𝒂 𝒃𝒊𝒎𝒂 𝒕𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒌𝒂𝒕𝒂 𝒎𝒊𝒍𝒊𝒐𝒏𝒊!! 𝑱𝒆 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒏𝒚𝒐𝒏𝒈𝒂 𝒂𝒖 𝒊𝒑𝒐 𝒏𝒚𝒊𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆 🤔
 
Back
Top Bottom