Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mental beliefs and thoughts are different like physical features of our bodiesAcha kujipa moyo mzee huo mshahara kwa degree holder ni ndogo sana kwa maisha ya sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mental beliefs and thoughts are different like physical features of our bodiesAcha kujipa moyo mzee huo mshahara kwa degree holder ni ndogo sana kwa maisha ya sasa.
Muhandisi.We ni bwana shamba wa private sio?
Wahandisi tunaiba material kukuza uchumi wa mifukoni mwetu.Lete na wahandisi, tuone ikojee huko.
Hali ngumu mkuu.ila ni bora kitu kuliko kukosa kitu.Duh aise Kama bachelor ndo Anakwapua kiasi icho aise matatizo ya afya ya akili Haywez kuisha
Asante sana ,nimekupata vyemaPrivate sector wanajua kucheza na hizo number. Na wanagawa mshahara wao katika Mafungu kama Transport, house allowance na pia sehemu nilipo Mimi bima haikatwi kwenye mshahara, lkn pia transport na house allowance & meal allowance tare 15 na unaandika barua kuziomba nahazikatwi kodi na mara nyingi Huwa wanaweka asilimia ya 50 ya mshahara wako au 60 katika transport,house allowance & meal allowance. Halafu asilimia 40 au 50 iliyobaki ndio wanaweka kama Gross nandio yakatwa Kodi. Lakini ni taasisi za private zinazojielewa.
Hao wanaosema security ni walemavu wa akili aiseeSecurity ya LAKI TATU?
Huu ni ujinga kabisa!
Actually ni ULEMAVU.
Kwenye mahesabau umekosea, All in all mwisho wa siku net amount ni 500k na kidogo sana.TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Wewe utaleta balaa, CCM watatoa wapi wasimamizi wa uchaguzi?Kwenye mahesabau umekosea, All in all mwisho wa siku net amount ni 500k na kidogo sana.
Jana nilipandisha Uzi wa kuwashauri vijana wasichague kozi za ualimu.
Kwa kweli ualimu sio kazi kwa TANZANIA.
Ni kheri utoke form six uende ukajifunze kutengeneza magari au pilipili gereji kuliko kwenda kusomea you upumbavu huu.
.kwa tuliopoteza muda wetu tukasoma ujinga huu, tunawatakia kheri sana madogo zetu
Muda wa kuukataa ualimu ni sasa wakati unachagua vyuo, ukibugi hapa utapata Majuto maisha yako yote
KATAA UALIMU 😂😂 NI UMASKINI WA KUJITAKIA
Wote si wamesoma 3 years?Kwamba Mwalimu wa Degree analipwa sawa na Diploma wa Clinical Medicine
Mshahara ni mdogo kwa watumish wote WA halmashauri isipokuwa mkurugenz na HRHii inatwa pia TGS D
Huu ni mshahara wa afisa yeyote wa Halmashauri ambae alisoma degree ya miaka mi3.
#YNWA
🤣🤣🤣🤣Daah LAKI TATU? RAKI TATU, KWERIIII??? nimeRia...
Yaani unapokea Raki tatu kwa mwezi mzima?? Yesuuuuuuu 😱😱😱😱
Hii kazi mbona ya kiQUMA kabisa bora niuze hata chips ntapata maokoto ya kushato.
Ualimu ni uQuma, ni wito wa Mwalimu Nyerere.
Cc: Evelyn Salt Poor Brain Extrovert Mpwayungu Village min -me mbaga r Yohimbe bark mshamba_mwingine dronedrake Mzee wa kupambania
Walimu WA sayans wanaanza na D3 sio D4 hata hivyo ualimu ni kazi ya kipumbav sanaNimekwambia na uelewi, kwa kipindi hiki walimu wa science woote wanaanza na D4, wanawazidi wa art ambao wanaanza na D1.
Wahasibu wanaanza na ngapi?Walimu WA sayans wanaanza na D3 sio D4 hata hivyo ualimu ni kazi ya kipumbav sana
Tunaongelea walimu tuachane na Hao maana hata askari kazidiwa mshahara na mwalimu Ila walimu wanaishi maisha ya kipumbav kama pundaWahasibu wanaanza na ngapi?
Unahisi kwanini mwalimu anaishi maisha ya kipumbavu kuliko askari anaezidiwa mshahara?Tunaongelea walimu tuachane na Hao maana hata askari kazidiwa mshahara na mwalimu Ila walimu wanaishi maisha ya kipumbav kama punda
Hose rentTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
𝑾𝒆 𝒋𝒂𝒎𝒂𝒂 𝒃𝒊𝒎𝒂 𝒕𝒖 𝒘𝒂𝒏𝒂𝒌𝒂𝒕𝒂 𝒎𝒊𝒍𝒊𝒐𝒏𝒊!! 𝑱𝒆 𝒉𝒊𝒊 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒋𝒊𝒏𝒚𝒐𝒏𝒈𝒂 𝒂𝒖 𝒊𝒑𝒐 𝒏𝒚𝒊𝒏𝒈𝒊𝒏𝒆 🤔Mimi bima tu ni zaidi ya milioni wanakata
Mbona milioni mimi ndio annual increment aiseeMimi bima tu ni zaidi ya milioni wanakata