Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..

Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..

Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..

Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..

Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Technician wa electrical tanesco yeye Ana kula ngp mkuu?
 
Back
Top Bottom