Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Naona hauamini kama wewe ni mtumishi nicheki nikupe uzoefu wa nilichokisema nipo katika hiyo tasnia mwaka wa tano huuHakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona hauamini kama wewe ni mtumishi nicheki nikupe uzoefu wa nilichokisema nipo katika hiyo tasnia mwaka wa tano huuHakika
Nimekubali mkuuNaona hauamini kama wewe ni mtumishi nicheki nikupe uzoefu wa nilichokisema nipo katika hiyo tasnia mwaka wa tano huu
Huo ni mshahara wa kuanzia,sio kwamba ndio atakuwa não huohuo akipanda daraja hapo anakaribia 1MKumbe mshahara haufiki hata milioni moja kwa graduates?? This is so Sad...
Technician wa electrical tanesco yeye Ana kula ngp mkuu?Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Ualimu kazi,, sana!Asee