MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Uko halmashauri au parastatal?Uwongo kabisa mimi nilikataa kujaza form mpaka leo sijawahi katwa ni hiari kwani huwa wananibebembeleza sana ila sitaki kabisa kusikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko halmashauri au parastatal?Uwongo kabisa mimi nilikataa kujaza form mpaka leo sijawahi katwa ni hiari kwani huwa wananibebembeleza sana ila sitaki kabisa kusikia
Uwongo mkubwa huu mbona mimi sikatwi? Huo uwakala?Kuna kitu ambacho naona mnashindwa kuelewa. Yaani hili suala hata uwaleleze watu vipi kuelewa hawataki.
Issue siyo kujiunga Wala kuijiondoa kwenye vyama vya wafanyakazi.
Tatizo kubwa ni kwamba UWE MWANACHAMA au USIWE MWANACHAMA. Ujitoe kwenye vyama au usijitoe.
WATAKUKATA TU tena KIWANGO kile kile sawa na wanachama wao.
Sababu kubwa ni kwamba Sheria imewapa LOOPHOLE hiyo.
MWANACHAMA atakatwa Ada ya uwanachama.
Na Kama wewe siyo MWANACHAMA atakatwa Ada ya uwakala.
Tughe ,taasisi ya serikaliUko halmashauri au parastatal?
Taasisis zina unafuu. Huku halmashauri waajiri ( Maafisa Utumishi na Maafisa Raslimali watu Wilaya wako wanavyeo huko kwenye vyama. Kwahiyo wanakula nao, hakuna namna mtumishi atakwepa, unless Kama Sheria itakuja kubadikika.Tughe ,taasisi ya serikali
Wizi mtupu.Sahihi. Waliweka huduma sawa kwa wote ila kiwango cha uchangiaji ni tofauti.
Vyama vya wafanyakazi, zaidi ya posho za vikao na zile bahasha wapewazo wakienda kwenye mabaraza, hawana tofauti na HRs, hawana msaada.
Skills Development Levy, hii si ni tozo tu? Inafanyaje kazi?
WCF, hii kwanini isingekuwa chini au tawi la masuala ya Afya na Usalama kazini?
mifuko ya jamii ni hela za wafanyakaziUnaelewa michango ya Mifuko ya Jamii inavyochangiwa na Kazi zake?
Ms3ng3 weweKubali kusahihishwa Mkuu, Makato ya CWT, TUGHE, TALGWU, TUICO nk ni hiari unaweza ukakatwa au ukakataa kukatwa na Endapo unakatwa makato hayo na hujawahi kujaza fomu ya Uanachama kukiri kukwata haya Makato, kesho nenda kwa mwajiri wako Uandike barua ya Ombi la kurejeshewa pesa yako na utaipata na msamaha juu.
Makato ya Lazima ni PAYE, NHIF, HESLB, PSSSF/NHIF baaaaasi. Mengine yooote kukatwa hadi ukubali na utie saini ya kuidhinisha mwajiri akate.
Basic Salary ya Tsh 2,442,000 unawezaje kuishi ndugu? Huna mke na watoto? Wanaishije? Watoto wanasoma KAYUMBA?PAYE yangu ni TZS 501,992/= yaani laki tano inapotea eti ni kodi.View attachment 2345419
Hiyo Payee ni 8% ya mshahara wako?PAYE yangu ni TZS 501,992/= yaani laki tano inapotea eti ni kodi.View attachment 2345419
Hivyo basic serikalini ni kubwa mno hivyo huyu ana nafuu sana.Basic Salary ya Tsh 2,442,000 unawezaje kuishi ndugu? Huna mke na watoto? Wanaishije? Watoto wanasoma KAYUMBA?
NIimepata taarifa kuwa kuna chama kipya cha walimu kimeanzishwa kinakata flat rate shilingi 5000 tu na walimu wengi wanajitoa CWT na kujiunga na hicho chama kipya cha walimu.Hili ni wazo la Msingi sana
Inatakiwa walau makato kwa watumishi yaangaliwe
Badala kukata kwa asilimia yaanze kukata kwa amount fulani