Makato kwa utaratibu wa asilimia kwenye mishahara ya watumishi, ni utaratibu usiofaa; Kuwe na utaratibu wa kuomba kibali cha kuongeza makato hayo

Uwongo mkubwa huu mbona mimi sikatwi? Huo uwakala?
 
Tughe ,taasisi ya serikali
Taasisis zina unafuu. Huku halmashauri waajiri ( Maafisa Utumishi na Maafisa Raslimali watu Wilaya wako wanavyeo huko kwenye vyama. Kwahiyo wanakula nao, hakuna namna mtumishi atakwepa, unless Kama Sheria itakuja kubadikika.
 
Wizi mtupu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ms3ng3 wewe
 
Basic Salary ya Tsh 2,442,000 unawezaje kuishi ndugu? Huna mke na watoto? Wanaishije? Watoto wanasoma KAYUMBA?
Hivyo basic serikalini ni kubwa mno hivyo huyu ana nafuu sana.

Najua umefanya hesabu kupata hiyo basic kwasababu inajulikana PSSSF ni asilimia 5 ya basic hivyo utakuwa umetafuta x na uko sahihi kabisa.
 
Hili ni wazo la Msingi sana
Inatakiwa walau makato kwa watumishi yaangaliwe
Badala kukata kwa asilimia yaanze kukata kwa amount fulani
NIimepata taarifa kuwa kuna chama kipya cha walimu kimeanzishwa kinakata flat rate shilingi 5000 tu na walimu wengi wanajitoa CWT na kujiunga na hicho chama kipya cha walimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…