Mkataba wako wa ajira unasemaje!
Mkataba wa ajira unasema ajira ni ya kudumu, malipo ya mshahara ni kwa mwezi pamoja na michango ya hifadhi ya jamii inakatwa.
Unatakiwa kupewa onyo kama tabia ikiendelea mwajiri anaweza kukulipa nusu mshajara wakati kesi ya msingi ikiendelea lkn haya yote lazima uwe na onyo la kawaida,kalipip kali tena kwa barua.Kukatwa mshahara mpa swala hilo liwe ngazi za juu siyo bosi kuamua.
Hakuja bila taharifa,au katoa taharifa na kazidi siku nne alizopewa kisheria
analipwa kwa Pro rata. Kama inaathiri uzalishaji wa muajili wake, atamuita kwenye kikao cha nidhamu na kuchukua hatua dhidi yake ikiwepo kumuachisha kazi.