Nauliza wajuzi wa sheria ili nipate ufafanuzi juu ya kifungu namba 28 kifungu kidogo cha 1 na cha 2 cha sheria ya Ajira na Uhusianao kazini namba 6 ya 2004 kinachozungumzia suala la makato kwenye mshahara wa mfanyakazi.
Je ni sahihi mfanyakazi anayelipwa mshahara kwa mwezi (ambaye si kibarua) anapokosa kufika kazini kwa siku moja au mbili mfano kukatwa fedha siku hizo ambazo hakufika kazini?
Nimejaribu kusoma kifungu hicho lakini sikupata jibu au suala hilo linashughulikiwa na sheria nyingine?
Asante.
Je ni sahihi mfanyakazi anayelipwa mshahara kwa mwezi (ambaye si kibarua) anapokosa kufika kazini kwa siku moja au mbili mfano kukatwa fedha siku hizo ambazo hakufika kazini?
Nimejaribu kusoma kifungu hicho lakini sikupata jibu au suala hilo linashughulikiwa na sheria nyingine?
Asante.