Makato na tozo yamefika pabaya, wahusika fanyeni hima mrekebishe hali

Makato na tozo yamefika pabaya, wahusika fanyeni hima mrekebishe hali

... hebu fafanua mdau! Inasaidia vipi kupunguza maumivu?
Hii unaingia katika menu ya bank bila kuhitaji kuwa na salio la vocha zaidi ya bundle la internet, of which inatumia internet kidogo. Lakini pia ukiangalia salio la akaunt yako kwa nmb app hawakuchaji kitu wakati kwenye menu ya kuingia kawaida wanakuchaji sh 600 kwenye akaunt yako
 
Hii unaingia katika menu ya bank bila kuhitaji kuwa na salio la vocha zaidi ya bundle la internet, of which inatumia internet kidogo. Lakini pia ukiangalia salio la akaunt yako kwa nmb app hawakuchaji kitu wakati kwenye menu ya kuingia kawaida wanakuchaji sh 600 kwenye akaunt yako
Hiyo app inaitwaje hasa...maana naziona ziko nyingi kwenye playstore
 
Mimi ni mteja wa NMB Bank. Katika kurahisisha huduma zangu za kibenki, nimejiunga na huduma ya NMB Mobile Banking. Huwa nafanya miamala yangu kutoka na kwenda benki yangu. Juzi, nilitaka kufanya muamala wa kutoa pesa benki kupeleka kwenye tigopesa.

Kila nikijaribu kuingia kwenye menu ya NMB Mobile sifanikiwi. Sikuwa najua tatizo na hivyo sikufanikisha muamala wangu. Mambo yangu niliyotaka kuyafanya yakakwama. Niliamua kumshirikisha mwenzangu mwenye huduma kama yangu. Yeye ndiye aliyenifumbua macho.

Akaniambia na mimi nikathibitisha kuwa kama huna salio la vocha kwenye simu yako basi huwezi kuingia kwenye menu ya NMB Mobile. Nikaambiwa na kuthibitisha kuwa kila unapoingia menu hiyo, vocha hukatwa. Kumbe, muamala wangu haukufanikiwa kwakuwa sikuwa na vocha!

Kuna makato kwenye vocha na fedha inayotumwa. Makato na tozo kulia na kushoto. Nimeambiwa (bado sijathibitisha) kuwa hata kuingia kwenye menu ya tigopesa kunahitaji uwepo wa vocha simuni ili nayo ikatwe. Tozo na makato yamefika pabaya, yanayafanya maisha yetu kuwa magumu zaidi.

Wahusika fanyeni hima mrekebishe hali hii. It is too much!
"Mama anaupiga mwingi kweri-kweri"
 
Hiyo app inaitwaje hasa...maana naziona ziko nyingi kwenye playstore
Inaitwa NMB Mkononi App mkuu.
Hii hapa pichani
Screenshot_20210804-135232.png
 
Mbona tozo zimeshazoeleka, mimi naona zibaki hivyo hivyo, na huko mbeleni ziongezeke sambamba na bei ya mafuta🤣
 
Mimi ni mteja wa NMB Bank. Katika kurahisisha huduma zangu za kibenki, nimejiunga na huduma ya NMB Mobile Banking. Huwa nafanya miamala yangu kutoka na kwenda benki yangu. Juzi, nilitaka kufanya muamala wa kutoa pesa benki kupeleka kwenye tigopesa.

Kila nikijaribu kuingia kwenye menu ya NMB Mobile sifanikiwi. Sikuwa najua tatizo na hivyo sikufanikisha muamala wangu. Mambo yangu niliyotaka kuyafanya yakakwama. Niliamua kumshirikisha mwenzangu mwenye huduma kama yangu. Yeye ndiye aliyenifumbua macho.

Akaniambia na mimi nikathibitisha kuwa kama huna salio la vocha kwenye simu yako basi huwezi kuingia kwenye menu ya NMB Mobile. Nikaambiwa na kuthibitisha kuwa kila unapoingia menu hiyo, vocha hukatwa. Kumbe, muamala wangu haukufanikiwa kwakuwa sikuwa na vocha!

Kuna makato kwenye vocha na fedha inayotumwa. Makato na tozo kulia na kushoto. Nimeambiwa (bado sijathibitisha) kuwa hata kuingia kwenye menu ya tigopesa kunahitaji uwepo wa vocha simuni ili nayo ikatwe. Tozo na makato yamefika pabaya, yanayafanya maisha yetu kuwa magumu zaidi.

Wahusika fanyeni hima mrekebishe hali hii. It is too much!

Tunawakomoa CHADEMA kuna mtu anaupiga mwingi sana.
 
"Kuna makato kwenye vocha na fedha inayotumwa"🤣🤣🤣

She is fucking everybody so hard.Wananchi goigoi huzalisha Serikali goigoi.

Imagine Serikali hii iliyokosa kibali cha wananchi iliingia madarakani kwa kupora uchaguzi huku wananchi waking'a ng'aa macho tu badala ya kuchukua hatua.

Matokeo yake imepatikana serikali goigoi ambayo haina time na vilio vya wananchi achilia mbali kuwatengenezea vilio hivyo.Wananchi wajiandae kulipa uzembe waliofanya.Period.
 
Ndio hivyo tozo na riba za mikopo.

Wanapata faida kubwa sana kwa kunyonya watu damu kwa kuzidisha riba na matozo yasiyo na kichwa wala miguu , kutoa hela yngu kwenye ATM tena laki 2(wanaweka noti za elfu 5) ni 1200 Tsh kwenye visa 2500 Tsh ,gharama kubwa.

NMB.jpg
 
Unadhani bank zinajiendesha vipi kama sio kwa tozo?
Tozo za kwenye simu au sio?
Hujui kama mabank yanakopesha hela lwa riba?
Hujui kama ukitoa hela kwenye ATM unakatwa ada? Hujui kama kuna ada ya kila mwezi unatozwa kwaajili ya kukulindia acc yako?

Ilitakiwa warahisishe huduma maana ndio lengo kuu la teknolojia. Kuna vitu sio vya lazima sema ndio hivyo wanatumia mwanya ambao wana uhakika huwezi kukwepa...

Hebu fikiria, kuingia kwenye acc yako unakatwa. Kutuma hela kwenye acc yako ya mtandao wa simu wanakata, ukienda kwa wakala kutoa wanakata + tozo ya serikali. Unadhani kuna unafuu kwa mtumiaji wa mwisho?

Huoni kama huo ni mzigo.?
Hivi unadhani mimi nikishaona mlolongo wa matozo huo nitashawishika kuweka hela yangu bank.?
 
Ahaaaa, mwanasheria tuliza boli. Lipia huduma za Mobile banking acha kulialia.
Na wewe badala ya kubishana na Wakili Msomi, kwa nini usiende ukamuuguze Sabaya kule Kisongo!

Hajafika leo mahakamani. Mambo ni magumu kweli kweli kwa upande wake.
 
Na bado hadi amalize muda wake, yeye amekwenda kuangalia magari jinsi yanavyounganishwa Buja, nyie endeleeni kulipa kodi za kizalendo. Bado JK hajapewa gari lenye wepesi wa kushuka.
 
Back
Top Bottom