Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Hii unaingia katika menu ya bank bila kuhitaji kuwa na salio la vocha zaidi ya bundle la internet, of which inatumia internet kidogo. Lakini pia ukiangalia salio la akaunt yako kwa nmb app hawakuchaji kitu wakati kwenye menu ya kuingia kawaida wanakuchaji sh 600 kwenye akaunt yako... hebu fafanua mdau! Inasaidia vipi kupunguza maumivu?
Hiyo app inaitwaje hasa...maana naziona ziko nyingi kwenye playstoreHii unaingia katika menu ya bank bila kuhitaji kuwa na salio la vocha zaidi ya bundle la internet, of which inatumia internet kidogo. Lakini pia ukiangalia salio la akaunt yako kwa nmb app hawakuchaji kitu wakati kwenye menu ya kuingia kawaida wanakuchaji sh 600 kwenye akaunt yako
"Mama anaupiga mwingi kweri-kweri"Mimi ni mteja wa NMB Bank. Katika kurahisisha huduma zangu za kibenki, nimejiunga na huduma ya NMB Mobile Banking. Huwa nafanya miamala yangu kutoka na kwenda benki yangu. Juzi, nilitaka kufanya muamala wa kutoa pesa benki kupeleka kwenye tigopesa.
Kila nikijaribu kuingia kwenye menu ya NMB Mobile sifanikiwi. Sikuwa najua tatizo na hivyo sikufanikisha muamala wangu. Mambo yangu niliyotaka kuyafanya yakakwama. Niliamua kumshirikisha mwenzangu mwenye huduma kama yangu. Yeye ndiye aliyenifumbua macho.
Akaniambia na mimi nikathibitisha kuwa kama huna salio la vocha kwenye simu yako basi huwezi kuingia kwenye menu ya NMB Mobile. Nikaambiwa na kuthibitisha kuwa kila unapoingia menu hiyo, vocha hukatwa. Kumbe, muamala wangu haukufanikiwa kwakuwa sikuwa na vocha!
Kuna makato kwenye vocha na fedha inayotumwa. Makato na tozo kulia na kushoto. Nimeambiwa (bado sijathibitisha) kuwa hata kuingia kwenye menu ya tigopesa kunahitaji uwepo wa vocha simuni ili nayo ikatwe. Tozo na makato yamefika pabaya, yanayafanya maisha yetu kuwa magumu zaidi.
Wahusika fanyeni hima mrekebishe hali hii. It is too much!
Inaitwa NMB Mkononi App mkuu.Hiyo app inaitwaje hasa...maana naziona ziko nyingi kwenye playstore
Mimi ni mteja wa NMB Bank. Katika kurahisisha huduma zangu za kibenki, nimejiunga na huduma ya NMB Mobile Banking. Huwa nafanya miamala yangu kutoka na kwenda benki yangu. Juzi, nilitaka kufanya muamala wa kutoa pesa benki kupeleka kwenye tigopesa.
Kila nikijaribu kuingia kwenye menu ya NMB Mobile sifanikiwi. Sikuwa najua tatizo na hivyo sikufanikisha muamala wangu. Mambo yangu niliyotaka kuyafanya yakakwama. Niliamua kumshirikisha mwenzangu mwenye huduma kama yangu. Yeye ndiye aliyenifumbua macho.
Akaniambia na mimi nikathibitisha kuwa kama huna salio la vocha kwenye simu yako basi huwezi kuingia kwenye menu ya NMB Mobile. Nikaambiwa na kuthibitisha kuwa kila unapoingia menu hiyo, vocha hukatwa. Kumbe, muamala wangu haukufanikiwa kwakuwa sikuwa na vocha!
Kuna makato kwenye vocha na fedha inayotumwa. Makato na tozo kulia na kushoto. Nimeambiwa (bado sijathibitisha) kuwa hata kuingia kwenye menu ya tigopesa kunahitaji uwepo wa vocha simuni ili nayo ikatwe. Tozo na makato yamefika pabaya, yanayafanya maisha yetu kuwa magumu zaidi.
Wahusika fanyeni hima mrekebishe hali hii. It is too much!
Unadhani bank zinajiendesha vipi kama sio kwa tozo?Duh!!! Hili ni jibu la mtu mwenye kujielewa?
Unadhani bank zinajiendesha vipi kama sio kwa tozo?
Ndio hivyo tozo na riba za mikopo.Halafu Mwisho wa mwaka wanasema wameingiza faida ya bilioni 200 au siyo?
Ndio hivyo tozo na riba za mikopo.
Huyo ni popomarism mfuasi wa MekoMkuu, wewe ni pang'ang'a kabisa. Huelewi chochote cha maana kilichondikwa zaidi ya kuendeshwa na ukada na siasa. Bure kabisa!
Tozo za kwenye simu au sio?Unadhani bank zinajiendesha vipi kama sio kwa tozo?
We mwanasheria una mihela,kwanini ulalamike Petro?Ndiyo Mkuu
Na wewe badala ya kubishana na Wakili Msomi, kwa nini usiende ukamuuguze Sabaya kule Kisongo!Ahaaaa, mwanasheria tuliza boli. Lipia huduma za Mobile banking acha kulialia.
Ule uzalendo maandazi umekuisha? Au hutaki kujenga nchi?Ndiyo Mkuu
Mkuu lipa kodi viongozi wastaafu wajengewe nyumba.Mkuu, wewe ni pang'ang'a kabisa. Huelewi chochote cha maana kilichondikwa zaidi ya kuendeshwa na ukada na siasa. Bure kabisa!
Kijna kuwa na lugha za staha hapa jukwaani.Ule uzalendo maandazi umekuisha? Au hutaki kujenga nchi?