Makato ya PayPal Tanzania yakoje?

Makato ya PayPal Tanzania yakoje?

nahitaji nijue zaidi about paypal mkuu sema huku bongo unatuma tu sio kupokea ebu nipe expirience yako unatumia njia gani nzuri kupokea pesa zako kuna wiretransfer,
payoneer,skrill & paypal ya kenya nataka nijue sehemu ya uhakika zaidi isio na FEE au makato..
Karibu
 
nahitaji nijue zaidi about paypal mkuu sema huku bongo unatuma tu sio kupokea ebu nipe expirience yako unatumia njia gani nzuri kupokea pesa zako kuna wiretransfer,
payoneer,skrill & paypal ya kenya nataka nijue sehemu ya uhakika zaidi isio na FEE au makato..
Fees zipo kila kona, kama unataka unafuu wa fees tumia crypto,ni haraka na fees ni ndogo kama sisimizi,mimi muamala sipitishi bank na haya makato mapya ndo kabisa
 
Fees zipo kila kona, kama unataka unafuu wa fees tumia crypto,ni haraka na fees ni ndogo kama sisimizi,mimi muamala sipitishi bank na haya makato mapya ndo kabisa
umetisha kinoma noma mkuu hakuna kinacho shindikana chini ya jua binafsi ndio kwanza nataka ni-add kadi ya benki ili nitumie kwenye payoneer lakini mchakato ni mkubwa sana unasikia mara uwe na kitambulisho cha taifa kiingilio 20,000 n.k
na bado nikikamilisha haya yote bado nitaendelea kusumbuka ila kama kuna njia ya haraka na salama sibanduki tena...
 
umetisha kinoma noma mkuu hakuna kinacho shindikana chini ya jua binafsi ndio kwanza nataka ni-add kadi ya benki ili nitumie kwenye payoneer lakini mchakato ni mkubwa sana unasikia mara uwe na kitambulisho cha taifa kiingilio 20,000 n.k
na bado nikikamilisha haya yote bado nitaendelea kusumbuka ila kama kuna njia ya haraka na salama sibanduki tena...
Angalia sehemu unayotaka kulipwa kama wanalipa kwa USDT,BTC,ETH ,kama wana option ya crypto tumia hiyo hiyo,haina kelele hii utavuta mzigo wako hadi MPESA chapu
 
Angalia sehemu unayotaka kulipwa kama wanalipa kwa USDT,BTC,ETH ,kama wana option ya crypto tumia hiyo hiyo,haina kelele hii utavuta mzigo wako hadi MPESA chapu
Yap, crypto ina unafuu sana
 
nahitaji nijue zaidi about paypal mkuu sema huku bongo unatuma tu sio kupokea ebu nipe expirience yako unatumia njia gani nzuri kupokea pesa zako kuna wiretransfer,
payoneer,skrill & paypal ya kenya nataka nijue sehemu ya uhakika zaidi isio na FEE au makato..
Zote zina makato either direct or indirect.
Payoneer mimi nilikuwa natoaga ela via atm shida ikawa ela ndogo hizi dollar 100 au 30 ukitoa wanapita na dollar 7.5 mpaka 13.5 ni hasara. Later nikajua kumbe naweza tumia mastercard ya payoneer nikahamisha ela directly from card to mpesa safaricom via skrill na hawana fees ni bure. Na safaricom to mtandao wa tz ni bure japo utaliwa kwenye FX.
Paypal mimi natoa ela kwa njia mbili kwa safaricom mpesa au kuihamishia payoneer.
Skrill watu wa marekan wengi hawaitumii.
Njia nyngine kama kuna walau dollar 300 wire transfer iko poa tu.
Halafu pia unaweza lipwa via mtandao wa simu.
Kuna mtu ananilipaga direct to airtelmoney via zoom.
Hakuna njia ya moja kwa moja tumia inayofaa kuendana na scenario.
Cryptocurrencies nayo si nzuri ikiwa unataka ziuza faster utaziuza low.mfano kuna mtu nilikuwa nanunua bitcoin local bitcoin kutumia skrill balance ili niuze kwa mtu atakayenlipa kwa mpesa. Ilikuwa inakula sana kqangu
 
Zote zina makato either direct or indirect.
Payoneer mimi nilikuwa natoaga ela via atm shida ikawa ela ndogo hizi dollar 100 au 30 ukitoa wanapita na dollar 7.5 mpaka 13.5 ni hasara. Later nikajua kumbe naweza tumia mastercard ya payoneer nikahamisha ela directly from card to mpesa safaricom via skrill na hawana fees ni bure. Na safaricom to mtandao wa tz ni bure japo utaliwa kwenye FX.
Paypal mimi natoa ela kwa njia mbili kwa safaricom mpesa au kuihamishia payoneer.
Skrill watu wa marekan wengi hawaitumii.
Njia nyngine kama kuna walau dollar 300 wire transfer iko poa tu.
Halafu pia unaweza lipwa via mtandao wa simu.
Kuna mtu ananilipaga direct to airtelmoney via zoom.
Hakuna njia ya moja kwa moja tumia inayofaa kuendana na scenario.
Cryptocurrencies nayo si nzuri ikiwa unataka ziuza faster utaziuza low.mfano kuna mtu nilikuwa nanunua bitcoin local bitcoin kutumia skrill balance ili niuze kwa mtu atakayenlipa kwa mpesa. Ilikuwa inakula sana kqangu
umenikosha sana mkuu lakini cha kuongezea ambacho ni muhimu ni hii usipokua makini utajikuta umepoteza pesa zote bila kujua zimeenda wapi? Siri ni kwamba wewe unaetoa pesa kwenye paypal kupitia Xoom utajifanya uko nchi za nje mfano marekani zambia & ulaya unamtumia mtu ambaye yupo tz (+255) wakati ndio wewe unaetoa pesa paypal kupitia Xoom...
 
Zote zina makato either direct or indirect.
Payoneer mimi nilikuwa natoaga ela via atm shida ikawa ela ndogo hizi dollar 100 au 30 ukitoa wanapita na dollar 7.5 mpaka 13.5 ni hasara. Later nikajua kumbe naweza tumia mastercard ya payoneer nikahamisha ela directly from card to mpesa safaricom via skrill na hawana fees ni bure. Na safaricom to mtandao wa tz ni bure japo utaliwa kwenye FX.
Paypal mimi natoa ela kwa njia mbili kwa safaricom mpesa au kuihamishia payoneer.
Skrill watu wa marekan wengi hawaitumii.
Njia nyngine kama kuna walau dollar 300 wire transfer iko poa tu.
Halafu pia unaweza lipwa via mtandao wa simu.
Kuna mtu ananilipaga direct to airtelmoney via zoom.
Hakuna njia ya moja kwa moja tumia inayofaa kuendana na scenario.
Cryptocurrencies nayo si nzuri ikiwa unataka ziuza faster utaziuza low.mfano kuna mtu nilikuwa nanunua bitcoin local bitcoin kutumia skrill balance ili niuze kwa mtu atakayenlipa kwa mpesa. Ilikuwa inakula sana kqangu
Mkuu, naomba unieleweshe namna ya kuhamisha pesa kutoka paypal kwenda payoneer
 
Mkuu, naomba unieleweshe namna ya kuhamisha pesa kutoka paypal kwenda payoneer
Paypal to payoneer inabidi uwe na payoneer federal community bank account. Waombe payineer watakipatia ndip utumie kuwithdraw paypal
 
umenikosha sana mkuu lakini cha kuongezea ambacho ni muhimu ni hii usipokua makini utajikuta umepoteza pesa zote bila kujua zimeenda wapi? Siri ni kwamba wewe unaetoa pesa kwenye paypal kupitia Xoom utajifanya uko nchi za nje mfano marekani zambia & ulaya unamtumia mtu ambaye yupo tz (+255) wakati ndio wewe unaetoa pesa paypal kupitia Xoom...
Hii nilishawahi ifanya sema nikajanikajimix siki moja
 
Hii nilishawahi ifanya sema nikajanikajimix siki moja
Mtu ambae ni kilaza atajikuta tayari amepigwa na kitu kizito kichwani namshauri mtu ambae hajawahi kujaribu website ya Xoom ku-withdraw pesa from paypal wakati unafanya transuction make sure unajaribu kiwango kidogo angalau USD $2 ili kuona kama inafanya kazi...
 
Mtu ambae ni kilaza atajikuta tayari amepigwa na kitu kizito kichwani namshauri mtu ambae hajawahi kujaribu website ya Xoom ku-withdraw pesa from paypal wakati unafanya transuction make sure unajaribu kiwango kidogo angalau USD $2 ili kuona kama inafanya kazi...
Nilijimix siku moja wakanifungia account yangu ya Paypal kabisa ikiwa na pesa. Nimekuja kuitoa baada ya miezi 6 via Payoneer
 
Nilijimix siku moja wakanifungia account yangu ya Paypal kabisa ikiwa na pesa. Nimekuja kuitoa baada ya miezi 6 via Payoneer
paypal hata uwe na laini ya safaricom utafanya transuction siku za mwanzo na watakuvizia mpaka siku ukipokea USD $600 wata-hold mpaka u-verify details ulizo jaza na hapo ndio utajua kwanini kanga ana vidoti doti...
 
Hii nilishawahi ifanya sema nikajanikajimix siki moja
kujimix inakuaga na mwisho mbaya mkuu kuna hacker ali-hack account 7 (saba) za snapchat na kutumia zile account kujifanya ni mmiliki aka-tapeli watu baadae alivyo kamatwa akakutwa tena na account mbili feki za paypal...
 
paypal hata uwe na laini ya safaricom utafanya transuction siku za mwanzo na watakuvizia mpaka siku ukipokea USD $600 wata-hold mpaka u-verify details ulizo jaza na hapo ndio utajua kwanini kanga ana vidoti doti...
Mimi yangu iko verified nshapokea zaidi ya dollar 3000 maana kabla ya kuanza kuitumia nliandaa kila document
 
Mimi yangu iko verified nshapokea zaidi ya dollar 3000 maana kabla ya kuanza kuitumia nliandaa kila document
sasa hapo kwenye issue ya kuandaa document za ku-verify paypal ya kenya ndio sehemu ya mafanikio ilipo, unaweza kuandaa taarifa ambazo sio rasmi na wakaamini kuwa ni wewe
wakaku-verify sema utachezea ban za kibabe na ukifanikiwa kuvuka hicho kiunzi ni mwendo wa ku-make money online kwa kiwango chochote hata zaidi ya USD $3000
 
sasa hapo kwenye issue ya kuandaa document za ku-verify paypal ya kenya ndio sehemu ya mafanikio ilipo, unaweza kuandaa taarifa ambazo sio rasmi na wakaamini kuwa ni wewe
wakaku-verify sema utachezea ban za kibabe na ukifanikiwa kuvuka hicho kiunzi ni mwendo wa ku-make money online kwa kiwango chochote hata zaidi ya USD $3000
Nshaandaa za akaunti zaodi ya 5 na kuziverify na niliweka thread humu how to do that
 
kufungua paypal ya kenya si itakubidi tena ununue laini ya safaricom ya kenya mkuu? ukipokea pesa mtandaoni unahamisha kuja safaricom then unatuma tena vodacom m-pesa ya huku tanzania sema paypal watakuvizia na siku ukipokea pesa nyingi kuanzia $600 wata-hold (kushikilia kwa miezi sita) mpaka u-verify details ulizo jaza hapo ndio utajua hujui...
Sio lazima uhamishe hizo pesa kuja Mpesa ya vodacom TZ. Huko huko Safaricom MPESA unaweza KUITOA hiyo pesa kwa wakala wa Vodacom MPESA TZ na inatoka vizuri tu, kuna USSD code ya kutoa hapa TZ.....
 
paypal kwenda benk
Fanyia kazi hii option ni rahisi zaidi
=
1662045988715.png
 
Back
Top Bottom