Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Nimesikia kuna huduma ya ebay .si.kwamba transaction za.ebay lazima uwe na.paypal accountHuwezi kwasababu paypal tz haipokei pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia kuna huduma ya ebay .si.kwamba transaction za.ebay lazima uwe na.paypal accountHuwezi kwasababu paypal tz haipokei pesa
Tz acc haipokei pesa kutoka kwa mtumaji lakini inaweza lipia pesa kwenda kwa muuza au ukamtumia mtu pesaNimesikia kuna huduma ya ebay .si.kwamba transaction za.ebay lazima uwe na.paypal account
Kazi nzuri mkuu kuuza account ambayo ipo verified itakua Tsh ngapi? Maana nimehangikia sana zaidi ya account mbili za paypal ya kenya lakini nikaishia kula ban...Nshaandaa za akaunti zaodi ya 5 na kuziverify na niliweka thread humu how to do that
nimekusoma kinoma noma mkuu congratulation brother..Sio lazima uhamishe hizo pesa kuja Mpesa ya vodacom TZ. Huko huko Safaricom MPESA unaweza KUITOA hiyo pesa kwa wakala wa Vodacom MPESA TZ na inatoka vizuri tu, kuna USSD code ya kutoa hapa TZ.....
Mkuu sina account ambayo nauza maana sijawah tengeneza acfount za kuuza mkuu uwa ni kwa matumizi bnafsKazi nzuri mkuu kuuza account ambayo ipo verified itakua Tsh ngapi? Maana nimehangikia sana zaidi ya account mbili za paypal ya kenya lakini nikaishia kula ban...
Huwezi kupokea pesa na paypal bro kama wewe ni mtz. OvaHata kama sina laini ya safaricom nitafanya mpango nifungue paypal ya hapa bongo na siku nikipokea pesa zangu online namtumia mtu ambae ame-verify account yake then anitumie via world remit skrill au payoneer hata kama atakata 30% au 20% kama kuna mtu yuko tayari anicheki now
Duuh..serikali yetu bado iko nyuma sana kwenye masuala ya mitandaoni wakisikia internet wanajua ni kuangalia porn ngoja ifike 2025 huenda watairuhusu paypal ingeruhusiwa tz vijana wengi wangejikwamua kiuchumi na kufika mbali zaidi mtu yeyote ambae ni nguli kwenye internet anaelewa fursa zilizopo mitandaoni...Huwezi kupokea pesa na paypal bro kama wewe ni mtz. Ova
Hii huduma bado haipatikani tanzania.Habarini!.
Anayefahamu makato ya kuhamisha pesa kutoka paypal kwenda benk iliopo Tanzania anifahamishe please,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]paypal hata uwe na laini ya safaricom utafanya transuction siku za mwanzo na watakuvizia mpaka siku ukipokea USD $600 wata-hold mpaka u-verify details ulizo jaza na hapo ndio utajua kwanini kanga ana vidoti doti...