Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE?
Naam naombeni jibu hapo
Naam naombeni jibu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NSSF na PAYE hiyo ni lazima.Naam naombeni jibu apo
Yote uliyo yataja Ni muhimu?Makato yapi ambayo ni lazima kwa mfanyakazi wa sekta binafsi (NGO) kukatwa? NSSF, NHIF au PAYE?
Naam naombeni jibu hapo
Ya kwanza ni NSSF alafu ndo P.A.Y.EPAYE ya kwanza na NSSF muhimu kwa sasa!
Nssf kwanza inafuata PayePAYE ya kwanza na NSSF muhimu kwa sasa!
Mleta mada jibu hilo hapo...NSSF na PAYE hiyo ni lazima.