Makavu live kwa mnaoenda vyuoni

Makavu live kwa mnaoenda vyuoni

Najua ni ngum kueleweka asante KUBWA kwa mnaoniekewa taratibu watabadilika tuu ..
 
mkuu ungewambia pia huwa linakata,wa kuolew na dd poa wa kumwaga watatoka kundi hilohilo...xa we njoo ka kondoo utauza vocha aina zote!
 
ama kwel wasomi wetu wengi ni mavuvuzera, ujumbe mtam kama huu mnaanza kutokwa na mapovu! kwan jaman hatuyaon hayo yaliyosemwa na mleta uzi? achen kuteteana mm mwenyewe nimeyashuhudia sana kipind nko varsty nimeupenda sana huu uzi najua wenye hzo tabia mmeumia sana, teheheheheheheeeeeee! back tanganyika.
 
Oyaa! Halafu nyie jamaa mnae soma elim ya juu kwa fedha za mikopo halafu naomba mjue kwamba hzo ni kodi zetu kwahiyo mpango Wa kua na sim za laki 8 hata laki 3 tu Mimi naona mnazingua lakin pia inasemekana mnaongoza kwa kuhudhulia club na sehem nyingine za starehe.

Pia inasemekana kuna michezo michafu saana huko vyuoni ya kufundishana MTU anapokua kilaza kwamfano MTU akiwa na hela anaweza kua ndio mwenye matokeo mazuri darasani lakin akina Dada warembo pia mnakua na matokeo mazuri kwa mbinu maalum.

Halafu kumbe wakati mpo vyuo mnajidanganya saana eti ooh ukitoka na cheti chako tuu Kazi nje nje. Sasa kama bdo upo chuo nakuomba badili kabisaaa mwenendo huku mtaani kumenuka vyeti baadae saana kwanza uwezo wako na kujituma sasa ujinga Wa kugoma mkitaka mikopo kumbe mnamaliza kwa kuwa honga ma professor na ma genius ili wawasaidie huku hajuna hiyo.

Nilikua najiuliza kwanini makampuni yanaona bora yaingia ghalama kuajiri watu toka kwao? Kumbe wamegundua sisi hapa ubabaishaji mwingi vyeti vizur Kazi ovyooooo.

Mna shinda mliman city na kwenye majumba ya starehe achani hizo kitu tunahitaji wasomi wengi saana ili kulikomboa taifa hili . Kwasababu mpaka sasa linaongozwa kiuzoefu na ili liongozwe kiutaratibu na kisomi tunahitaji akina January makamba, mnyika, kafulila, mdee, sugu , zito wengi saana vinginevyo tutaendelea kuburuzwa hiv hiv.

Nashangaa mmejaa hapa Jf mnalalamika kila siku na nyinyi ni wasomi je sisi std seven tuseme nini? BADILISHENI MTAZAMO MTUSAIDIE.

kamanda umetiiiiishaaaaaaa! ni mkuki kwa wahusika
 
ela gani tena unaseme fahara wewe izo ni ela za mlipa kodi plus makato ya mishahara ya wazazi wangu na bia and sigara nnazo vuta after all mwisho wa siku zinarudishwa kalie na mafisadi wa epa na richmond wale ndo chanzo cha umasikini wako!
 
#dibk ASANTE KUBWA MAANA NILIONEKANA NINAWIVU ETI KWAKUA SIPATI MKOPO WAKATI MIMI NATAMANI HATAWAONGEZEWE ILA FOR FUTURE MFANO UKIWA CHUO ISHI KAWAIDA TU NA HELA YA MKOPO IHIFADHI JAPO KIDOGO KIDOGO UKIMALIZA CHUO KAMA KAZI IKIZINGUA UNAANZISHA JAMPUN YAKO HATA KWA MILION MOJA AU MBILI LAKINI HIKI NILICHO SEMA HAPA ATAKUJA MWANACHUO HAPA TENA WA MAMBO YA UCHUMI ATASEMA UNAWEZAJE KUANZISHA KAMPUNI KWA MILIONI?
 
#dibk ASANTE KUBWA MAANA NILIONEKANA NINAWIVU ETI KWAKUA SIPATI MKOPO WAKATI MIMI NATAMANI HATAWAONGEZEWE ILA FOR FUTURE MFANO UKIWA CHUO ISHI KAWAIDA TU NA HELA YA MKOPO IHIFADHI JAPO KIDOGO KIDOGO UKIMALIZA CHUO KAMA KAZI IKIZINGUA UNAANZISHA JAMPUN YAKO HATA KWA MILION MOJA AU MBILI LAKINI HIKI NILICHO SEMA HAPA ATAKUJA MWANACHUO HAPA TENA WA MAMBO YA UCHUMI ATASEMA UNAWEZAJE KUANZISHA KAMPUNI KWA MILIONI?

kampuni ya milioni moja haahaa io ela itashia kwenye kuisajili!
 
Utakua mpumbavu saana kama utasajili kampun kwa kutumia milion wakati hela uliyonayo ndio million mkuu vipi?
 
Utakua mpumbavu saana kama utasajili kampun kwa kutumia milion wakati hela uliyonayo ndio million mkuu vipi?

sasa unadhani process zakusajili kampuni ni efu50 kijana? Labda uoperate kama mjasiria mali maana duka nikinunua mashine ya tra ntabakiwa na laki nne zakulipia kodi umeme na maji!
 
#vvm mbona unapanik mkuu? Mafisadi wapo wengi Mimi nimeanza na hao wanna vyuo coz nao ni mafisadi kwa matumiz mabaya ya mikopo halafu Kazi hawapati serikali inakua imeingia hasara
 
Mkuu hizo mashine zinahitajika kwa biashara za ukubwa Fulani usiwakatishe tamaa watu hiyo million kuanzisha kampuni inatosha saana nia thabiti inahitajika. Before kampuni
 
Mkuu hizo mashine zinahitajika kwa biashara za ukubwa Fulani usiwakatishe tamaa watu hiyo million kuanzisha kampuni inatosha saana nia thabiti inahitajika. Before kampuni

befor kampuni apo nimekuelewa nasio kuanzisha kampuni ya milion moja! Well said mkuu
 
#vvm mbona unapanik mkuu? Mafisadi wapo wengi Mimi nimeanza na hao wanna vyuo coz nao ni mafisadi kwa matumiz mabaya ya mikopo halafu Kazi hawapati serikali inakua imeingia hasara

hahaha ni kitu kisichowezekana kijana unajua nini ukitaka wanafunzi wasiparty maana yake unamaanisha club zifungwe, wauzaji wa baa wafukuzwe na serikali ikose kodi ya bia na sigara kweli ivo si ndo umaskini sasa?
 
Wanaobisha na wahishe lakini walio wengi masha yao yapo kama mtoa mada alivyosema.
1. kuna wengine, bum likitoka, haonekani darasani wala discusion uadi bum liishe
2. wengi wanamaliza mabum mapema halafu wanashinda kwa wanaojipikilisha chuo
3. Bum likishatoka wengi wanashinda kwenye starehe... na ndiyo maana ''supu'' za kumwaga
4. Wanawake kujiuza hawajambo... halafu angalia maVX yanavyopaki pale kwenye mabweni ya wasichana kuwanunu

Bisheni...muiteni la saba.... mwambieni anawachukia wanachuo... mtukaneni lakini ukweli utabaki ulivyo daima na milele..
 
Wanaobisha na wahishe lakini walio wengi masha yao yapo kama mtoa mada alivyosema.
1. kuna wengine, bum likitoka, haonekani darasani wala discusion uadi bum liishe
2. wengi wanamaliza mabum mapema halafu wanashinda kwa wanaojipikilisha chuo
3. Bum likishatoka wengi wanashinda kwenye starehe... na ndiyo maana ''supu'' za kumwaga
4. Wanawake kujiuza hawajambo... halafu angalia maVX yanavyopaki pale kwenye mabweni ya wasichana kuwanunu

Bisheni...muiteni la saba.... mwambieni anawachukia wanachuo... mtukaneni lakini ukweli utabaki ulivyo daima na milele..

Mkuu wanachuo pia ni watu....hayo mambo hayapo mitaani? Hivi hujaona kuna watu wanafanya kazi ngumu wakipata hela kidogo tu wanaenda kunywa pombe?
Nilikuwa nakaa mkoa mmoja wenyeji wa huko wanalima kahawa....muda wa kuvuna ule ni full kushindana kununua nguo na kunywa pombe...uzinzi huo ndo usiseme...wengine walikuwa wanatumia fursa hiyo kuoa wanawake....mtu kila akipata hela ya kahawa anaongeza mke.....
Hiyo ni hulka tu ya binadamu hayo mambo hayapo vyuoni tu...
 
Waambie hao na over exptn zao,na pia niongezee hapo mbona humu jf kila mtu anasema yeye ni mwanachuo?Kwa hiyo tuseme jf ni wanafunzi?
 
Mkuu wanachuo pia ni watu....hayo mambo hayapo mitaani? Hivi hujaona kuna watu wanafanya kazi ngumu wakipata hela kidogo tu wanaenda kunywa pombe?
Nilikuwa nakaa mkoa mmoja wenyeji wa huko wanalima kahawa....muda wa kuvuna ule ni full kushindana kununua nguo na kunywa pombe...uzinzi huo ndo usiseme...wengine walikuwa wanatumia fursa hiyo kuoa wanawake....mtu kila akipata hela ya kahawa anaongeza mke.....
Hiyo ni hulka tu ya binadamu hayo mambo hayapo vyuoni tu...

OK kwamfano nikiwatetea wakulima kwamba wamekosa elim ya kuendeleza kipato chao na mpaka kesho bado wanahitaji msaada wao wasomi ili kuongeza kipato chao japo cwatetei mojakwamoja we we ungekaa upande Wa wanavyuo ungewateteaje
 
Mkuu wanachuo pia ni watu....hayo mambo hayapo mitaani? Hivi hujaona kuna watu wanafanya kazi ngumu wakipata hela kidogo tu wanaenda kunywa pombe?
Nilikuwa nakaa mkoa mmoja wenyeji wa huko wanalima kahawa....muda wa kuvuna ule ni full kushindana kununua nguo na kunywa pombe...uzinzi huo ndo usiseme...wengine walikuwa wanatumia fursa hiyo kuoa wanawake....mtu kila akipata hela ya kahawa anaongeza mke.....
Hiyo ni hulka tu ya binadamu hayo mambo hayapo vyuoni tu...

Positivity is always your character! Nakupenda kwa hilo, Japo mi sio mstarehekaji saaanaa ila maisha Binafsi ya mtu ambayo hayaniathiri huwa hayanishughulishi! Btw Boom siku hizi ni kiasi gani mpaka litumike kununulia simu ya one million na zaidi?
 
Back
Top Bottom