Oyaa! Halafu nyie jamaa mnae soma elim ya juu kwa fedha za mikopo halafu naomba mjue kwamba hzo ni kodi zetu kwahiyo mpango Wa kua na sim za laki 8 hata laki 3 tu Mimi naona mnazingua lakin pia inasemekana mnaongoza kwa kuhudhulia club na sehem nyingine za starehe.
Pia inasemekana kuna michezo michafu saana huko vyuoni ya kufundishana MTU anapokua kilaza kwamfano MTU akiwa na hela anaweza kua ndio mwenye matokeo mazuri darasani lakin akina Dada warembo pia mnakua na matokeo mazuri kwa mbinu maalum.
Halafu kumbe wakati mpo vyuo mnajidanganya saana eti ooh ukitoka na cheti chako tuu Kazi nje nje. Sasa kama bdo upo chuo nakuomba badili kabisaaa mwenendo huku mtaani kumenuka vyeti baadae saana kwanza uwezo wako na kujituma sasa ujinga Wa kugoma mkitaka mikopo kumbe mnamaliza kwa kuwa honga ma professor na ma genius ili wawasaidie huku hajuna hiyo.
Nilikua najiuliza kwanini makampuni yanaona bora yaingia ghalama kuajiri watu toka kwao? Kumbe wamegundua sisi hapa ubabaishaji mwingi vyeti vizur Kazi ovyooooo.
Mna shinda mliman city na kwenye majumba ya starehe achani hizo kitu tunahitaji wasomi wengi saana ili kulikomboa taifa hili . Kwasababu mpaka sasa linaongozwa kiuzoefu na ili liongozwe kiutaratibu na kisomi tunahitaji akina January makamba, mnyika, kafulila, mdee, sugu , zito wengi saana vinginevyo tutaendelea kuburuzwa hiv hiv.
Nashangaa mmejaa hapa Jf mnalalamika kila siku na nyinyi ni wasomi je sisi std seven tuseme nini? BADILISHENI MTAZAMO MTUSAIDIE.