Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
- Thread starter
-
- #61
Oyaa! Halafu nyie jamaa mnae soma elim ya juu kwa fedha za mikopo halafu naomba mjue kwamba hzo ni kodi zetu kwahiyo mpango Wa kua na sim za laki 8 hata laki 3 tu Mimi naona mnazingua lakin pia inasemekana mnaongoza kwa kuhudhulia club na sehem nyingine za starehe.
Pia inasemekana kuna michezo michafu saana huko vyuoni ya kufundishana MTU anapokua kilaza kwamfano MTU akiwa na hela anaweza kua ndio mwenye matokeo mazuri darasani lakin akina Dada warembo pia mnakua na matokeo mazuri kwa mbinu maalum.
Halafu kumbe wakati mpo vyuo mnajidanganya saana eti ooh ukitoka na cheti chako tuu Kazi nje nje. Sasa kama bdo upo chuo nakuomba badili kabisaaa mwenendo huku mtaani kumenuka vyeti baadae saana kwanza uwezo wako na kujituma sasa ujinga Wa kugoma mkitaka mikopo kumbe mnamaliza kwa kuwa honga ma professor na ma genius ili wawasaidie huku hajuna hiyo.
Nilikua najiuliza kwanini makampuni yanaona bora yaingia ghalama kuajiri watu toka kwao? Kumbe wamegundua sisi hapa ubabaishaji mwingi vyeti vizur Kazi ovyooooo.
Mna shinda mliman city na kwenye majumba ya starehe achani hizo kitu tunahitaji wasomi wengi saana ili kulikomboa taifa hili . Kwasababu mpaka sasa linaongozwa kiuzoefu na ili liongozwe kiutaratibu na kisomi tunahitaji akina January makamba, mnyika, kafulila, mdee, sugu , zito wengi saana vinginevyo tutaendelea kuburuzwa hiv hiv.
Nashangaa mmejaa hapa Jf mnalalamika kila siku na nyinyi ni wasomi je sisi std seven tuseme nini? BADILISHENI MTAZAMO MTUSAIDIE.
#dibk ASANTE KUBWA MAANA NILIONEKANA NINAWIVU ETI KWAKUA SIPATI MKOPO WAKATI MIMI NATAMANI HATAWAONGEZEWE ILA FOR FUTURE MFANO UKIWA CHUO ISHI KAWAIDA TU NA HELA YA MKOPO IHIFADHI JAPO KIDOGO KIDOGO UKIMALIZA CHUO KAMA KAZI IKIZINGUA UNAANZISHA JAMPUN YAKO HATA KWA MILION MOJA AU MBILI LAKINI HIKI NILICHO SEMA HAPA ATAKUJA MWANACHUO HAPA TENA WA MAMBO YA UCHUMI ATASEMA UNAWEZAJE KUANZISHA KAMPUNI KWA MILIONI?
Utakua mpumbavu saana kama utasajili kampun kwa kutumia milion wakati hela uliyonayo ndio million mkuu vipi?
Mkuu hizo mashine zinahitajika kwa biashara za ukubwa Fulani usiwakatishe tamaa watu hiyo million kuanzisha kampuni inatosha saana nia thabiti inahitajika. Before kampuni
#vvm mbona unapanik mkuu? Mafisadi wapo wengi Mimi nimeanza na hao wanna vyuo coz nao ni mafisadi kwa matumiz mabaya ya mikopo halafu Kazi hawapati serikali inakua imeingia hasara
Wanaobisha na wahishe lakini walio wengi masha yao yapo kama mtoa mada alivyosema.
1. kuna wengine, bum likitoka, haonekani darasani wala discusion uadi bum liishe
2. wengi wanamaliza mabum mapema halafu wanashinda kwa wanaojipikilisha chuo
3. Bum likishatoka wengi wanashinda kwenye starehe... na ndiyo maana ''supu'' za kumwaga
4. Wanawake kujiuza hawajambo... halafu angalia maVX yanavyopaki pale kwenye mabweni ya wasichana kuwanunu
Bisheni...muiteni la saba.... mwambieni anawachukia wanachuo... mtukaneni lakini ukweli utabaki ulivyo daima na milele..
Mkuu wanachuo pia ni watu....hayo mambo hayapo mitaani? Hivi hujaona kuna watu wanafanya kazi ngumu wakipata hela kidogo tu wanaenda kunywa pombe?
Nilikuwa nakaa mkoa mmoja wenyeji wa huko wanalima kahawa....muda wa kuvuna ule ni full kushindana kununua nguo na kunywa pombe...uzinzi huo ndo usiseme...wengine walikuwa wanatumia fursa hiyo kuoa wanawake....mtu kila akipata hela ya kahawa anaongeza mke.....
Hiyo ni hulka tu ya binadamu hayo mambo hayapo vyuoni tu...
Mkuu wanachuo pia ni watu....hayo mambo hayapo mitaani? Hivi hujaona kuna watu wanafanya kazi ngumu wakipata hela kidogo tu wanaenda kunywa pombe?
Nilikuwa nakaa mkoa mmoja wenyeji wa huko wanalima kahawa....muda wa kuvuna ule ni full kushindana kununua nguo na kunywa pombe...uzinzi huo ndo usiseme...wengine walikuwa wanatumia fursa hiyo kuoa wanawake....mtu kila akipata hela ya kahawa anaongeza mke.....
Hiyo ni hulka tu ya binadamu hayo mambo hayapo vyuoni tu...