Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha watu na shedo zetu naturalllllHahahaaaa! Wewe tena! We na kui nilishawavulia kofia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha watu na shedo zetu naturalllllHahahaaaa! Wewe tena! We na kui nilishawavulia kofia.
Teh Teh chezea smart manLusajo11 nae si mchache.
Lusajo11 nae si mchache.
Hahaha hamna bana, ile scrub ni hatareeee mno tehHahaha.. atoto achana na Heaven Sent ananinyanyasa makusudi. Anajua akitaja scrub yetu ile mchana huu lazima ntaburst. Sasa nimejikaza kuchekea tumboni lakini machozi yanatoka. Hapa nilipo watu wanajua mimi ni mtu siria vibaya sana hahaha
Hahaaaaa! Yaani nikiikumbuka ile scrub yako na ile story nyingine nacheka.Hahaha.. atoto achana na Heaven Sent ananinyanyasa makusudi. Anajua akitaja scrub yetu ile mchana huu lazima ntaburst. Sasa nimejikaza kuchekea tumboni lakini machozi yanatoka. Hapa nilipo watu wanajua mimi ni mtu siria vibaya sana hahaha
Huyu wa hivi hanifai aisee maana mie nikishapiga baby care am done, sasa si atanizidi!Teh Teh chezea smart man
Haha ile nyingine kibokoooHahaaaaa! Yaani nikiikumbuka ile scrub yako na ile story nyingine nacheka.
Utaonekana shangazi ake mbonaHuyu wa hivi hanifai aisee maana mie nikishapiga baby care am done, sasa si atanizidi!
Haha umesema unapakaga red au nude au? Me nikilamba tu ubuyu inatosha, ndo shedo yangu teh
Hahahaaaa! Wewe tena! We na kui nilishawavulia kofia.
Hahaha!, Heaven Sent hebu tumuelimishe atoto with our home made make up.
Eti shedo ya ubuyu, hahhaaa.
Usisahau na zile wigi zetu za kihindi...lol
Tena shangazi mkubwa!Utaonekana shangazi ake mbona
Hizo make up zenu mbaki nazo wenyewe kwakweli.Hahaha!, Heaven Sent hebu tumuelimishe atoto with our home made make up.
Eti shedo ya ubuyu, hahhaaa.
Usisahau na zile wigi zetu za kihindi...lol
Hahaaaa! Yaani baba yako ni mwisho wa matatizo, hilo shushu lilikuwa funga mwaka.Teh lip bam vitumbua. Wigi ukigeuka lenyewe limesimama tu, halifati direction ya kichwa kabisa
Mawigi anayaweza heav, mara upepo ukija unakuwa na wasiwasi km unaoga njia panda, au ukipanda daladala ukakaa na mtoto akikuvuta kaharibu kabisa ustaarabu.
Mawigi anayaweza heav, mara upepo ukija unakuwa na wasiwasi km unaoga njia panda, au ukipanda daladala ukakaa na mtoto akikuvuta kaharibu kabisa ustaarabu.
Hahaaaa! Haki siliokoti, naliacha nasepa kimya kimya, mtaniletea....na kwenye mnuso inabidi kucheza kwa ma pose, ukitaka kumrudi MJ hukawii kuliona usawa wa floor.