Salaam, Shalom!!
1. Mchawi anapokujia usiku, akijua wewe u Roho, utamwona,hupaka unga usoni kisha hunuiza maneno Fulani Fulani Ili asionekane, na nuizo Hilo huambatana na kufunika sura yake Kwa kifuniko Cha mnyama kama mbwa au paka, nyoka, ngombe nk nk.
Ndio maana utaota ukikimbizwa na nyoka au mbwa,ngombe, Si n'gombe wale, ni watu waliofunika NYUSO zao Kwa kunuiza maneno Fulani Fulani Ili usiwaone/ wasionekane.
Mtu wa Giza akitaka uharikikiwe, atakufunika kifuniko Cha uso( mask usoni) au kukuwekea uso fake wa bibi kizee au kinyago Cha kutisha Ili Kila akuonaye akuchukie asikutizame Ili uharibikiwe. Sasa kwann nawe uufunike utukufu wako(uso) Kwa make up /vifuniko vya uso?
2. Mwizi / Jambazi anayejua anafahamika na asingependa kuonekana, atavaa mask( kifuniko Cha uso Ili asijulikane. Likewise, wasiojulikana huvaa mizola, miwani ,wigs nk nk Ili wasitambulike.
3. Kahaba akijua kuwa anataka kuwahadaa wanunuzi, hununua vipodozi vya Kila aina Ili kuhakikisha anafunika uso wake Kwa kutengeneza mwonekano wa kitu kingine kisichofanana na Yeye halisi, na mwonekano huo mpya ndio Hasa silaha ya kuwafunga NAFSI wanunuzi kuingia kwenye mtego huo wa kahaba, na Kwa kuwa kahaba ni shimo refu, yeyote aingiaye humo, hatotoka kamwe, lakini chanzo Cha yote ni makeup, kifuniko Cha uso.
SWALI KWA WALIOOLEWA( WAKE ZA WATU) NA WANA WA MUNGU.
Hizi make up ni za nini?
Kwanini kubadili au kuficha sura Yako Kwa kuvaa sura ingine, Ili iweje?
NB; Jambazi, mchawi na kahaba ni watoto wa baba mmoja, na hufanya KAZI Kwa ushirika wa karibu sana ingawa Kwa nje ni kama maadui.
Ikiwa ungependa kuingia katika familia ya Mungu, fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Karibuni 🙏
1. Mchawi anapokujia usiku, akijua wewe u Roho, utamwona,hupaka unga usoni kisha hunuiza maneno Fulani Fulani Ili asionekane, na nuizo Hilo huambatana na kufunika sura yake Kwa kifuniko Cha mnyama kama mbwa au paka, nyoka, ngombe nk nk.
Ndio maana utaota ukikimbizwa na nyoka au mbwa,ngombe, Si n'gombe wale, ni watu waliofunika NYUSO zao Kwa kunuiza maneno Fulani Fulani Ili usiwaone/ wasionekane.
Mtu wa Giza akitaka uharikikiwe, atakufunika kifuniko Cha uso( mask usoni) au kukuwekea uso fake wa bibi kizee au kinyago Cha kutisha Ili Kila akuonaye akuchukie asikutizame Ili uharibikiwe. Sasa kwann nawe uufunike utukufu wako(uso) Kwa make up /vifuniko vya uso?
2. Mwizi / Jambazi anayejua anafahamika na asingependa kuonekana, atavaa mask( kifuniko Cha uso Ili asijulikane. Likewise, wasiojulikana huvaa mizola, miwani ,wigs nk nk Ili wasitambulike.
3. Kahaba akijua kuwa anataka kuwahadaa wanunuzi, hununua vipodozi vya Kila aina Ili kuhakikisha anafunika uso wake Kwa kutengeneza mwonekano wa kitu kingine kisichofanana na Yeye halisi, na mwonekano huo mpya ndio Hasa silaha ya kuwafunga NAFSI wanunuzi kuingia kwenye mtego huo wa kahaba, na Kwa kuwa kahaba ni shimo refu, yeyote aingiaye humo, hatotoka kamwe, lakini chanzo Cha yote ni makeup, kifuniko Cha uso.
SWALI KWA WALIOOLEWA( WAKE ZA WATU) NA WANA WA MUNGU.
Hizi make up ni za nini?
Kwanini kubadili au kuficha sura Yako Kwa kuvaa sura ingine, Ili iweje?
NB; Jambazi, mchawi na kahaba ni watoto wa baba mmoja, na hufanya KAZI Kwa ushirika wa karibu sana ingawa Kwa nje ni kama maadui.
Ikiwa ungependa kuingia katika familia ya Mungu, fuatisha Sala hii:
EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, UZINZI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Karibuni 🙏