Make up na mask (kifuniko cha uso) kuna tofauti gani?

Make up na mask (kifuniko cha uso) kuna tofauti gani?

Sasa endelea mistari ya mbele,

Mapambo hayo ndio yamemfanya kujiinua, na kufanya uzinzi, ukahaba na Ibada ya sanamu.

Ukimruhusu mkeo kuvaa vimini na nguo za kubana, matokeo ni hasi.
Lazima ujue, Je mapambo analiyowapamba Mungu ni hayo mapambo ya dhahabu kweli?

Je huo Uzuri ni Uzuri wa Sura zao kweli ndio Mungu anaosema?

Ukifuatilia kwa makini si Mapambo haya wala si Uzuri huu ambao Mungu anausema.

Kuna Uzuri na Mapambo mengine ambapo usipokuwa na ufahamu huwezi kuyajua utabaki kuwalaumu watoto wazuri.
 
Lazima ujue, Je mapambo analiyowapamba Mungu ni hayo mapambo ya dhahabu kweli?

Je huo Uzuri ni Uzuri wa Sura zao kweli ndio Mungu anaosema?

Ukifuatilia kwa makini si Mapambo haya wala si Uzuri huu ambao Mungu anausema.

Kuna Uzuri na Mapambo mengine ambapo usipokuwa na ufahamu huwezi kuyajua utabaki kuwalaumu watoto wazuri.
Wewe unaruhusu Binti zako kutoboa pua?
 
1 Waraka wa kwanza wa Yohana 2:15-17)

15: Msiipende Dunia, Wala mambo yaliyomo katika Dunia.

Mtu akiipenda Dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake.

16: Maana Kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili,tamaa ya macho, kiburi Cha Uzima, havitokani na baba, Bali vya Tokana na Dunia.

17. Na Dunia inapita pamoja na tamaa zake, Bali Yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.
Unaachaje kuipenda dunia ilihali unaishi ndani yake? Usipoipenda dunia hautatenda haki sababu utakula mshahara pasipo kueajibika, barabara, mashule, Hospitali haviyajengwa.
Kasome vizuri hilo andiko, isije ikawa linakuzidi kimo.
 
Binti zangu wafanye lolote wanalopenda
Utadaiwa siku ya HUKUMU Kwa kutowalea wanao sawasawa na maelekezo ya Mungu.

Mwili wako ni hekalu ambalo Mungu anataka akae ndani Ili aabudiwe.

Pete za masikioni zinapotobolewa na kuwekwa katika sikio, lengo ni kuziba sikio la mtu wa ndani asiweze kusikia neno la Mungu na maagizo yake.

Kuchora tattoo ni uchawi kama uchawi mwingine, na asili ya tattoo ni kuzimu, IPO kuchafua mwili Ili kuondoa uwepo wa Mungu na kukaribisha mapepo.

Kufuga kucha ndefu na kupaka RANGI ni uchawi pia, lengo ni kufanya mtu afanane na misukule Ili baadae naye aende kuwa mfungwa katika gereza la shetani.

Kusuka Rasta Kwa asili tangu awali, Waganga wapiga ramli ndio Hasa walikuwa wakifuga Rasta Kwa maelekezo ya madhabahu Yao ya Giza, na Nia ni Roho ya Rasta ni kupeleka vifungo,kunasa akili na Fikra Ili uwe tu kichaa, kamwe usijitambue, utaona ukichaa na kufuga Rasta vinaendana.

Kuvaa suruali na mavazi ya kubana Kwa wanawake Nia ya shetani hapo ni kuwaangusha wanaume katika uzinzi na kupiga punyeto, sasa mwanao alisaidia vijana kujichua Kwa mavazi ya nusu uchi avaayo, anatumikia Ufalme upi kama Si wa Giza?

Kofia za kichwani, wigs kadhalika zipo kuondoa utulivu, kushika Fikra, kuondoa utulivu, hasira, sababu katika Ulimwengu wa Roho, wigs ni nyoka zilizosokotwa mtu anazivaa kichwani, sasa nani hapo anaabudiwa?

Mwili ni hekalu la Mungu,

Usilichafue.

Ubarikiwe 🙏
 
Unaachaje kuipenda dunia ilihali unaishi ndani yake? Usipoipenda dunia hautatenda haki sababu utakula mshahara pasipo kueajibika, barabara, mashule, Hospitali haviyajengwa.
Kasome vizuri hilo andiko, isije ikawa linakuzidi kimo.
Kuipenda Dunia ni kufuata na kusikiza matakwa ya MWILI ambayo Hasa ni tamaa ya macho, tamaa ya mwili, kiburi Cha Uzima, uzinzi, wizi nk nk vitu ambavyo hupingana na Roho ambayo hutaka kumpendeza Mungu.

Ndipo utajua kuwa,

Si Rahisi uwe Mwizi na umpende Mungu wakati huo huo!!

Ukimpenda Mungu, utampenda Jirani, hutamwibia Wala kumdhulumu.

Ubarikiwe!!
 
Kuipenda Dunia ni kufuata na kusikiza matakwa ya MWILI ambayo Hasa ni tamaa ya macho, tamaa ya mwili, kiburi Cha Uzima, uzinzi, wizi nk nk vitu ambavyo hupingana na Roho ambayo hutaka kumpendeza Mungu.

Ndipo utajua kuwa,

Si Rahisi uwe Mwizi na umpende Mungu wakati huo huo!!

Ukimpenda Mungu, utampenda Jirani, hutamwibia Wala kumdhulumu.

Ubarikiwe!!
Teknolojia ni kubwa sasa, ni swala la kwenda kuving'oa tu hivyo vyote, yaani macho, vifanyio n.k.
Utaishi kitakatifu sana
 
Teknolojia ni kubwa sasa, ni swala la kwenda kuving'oa tu hivyo vyote, yaani macho, vifanyio n.k.
Utaishi kitakatifu sana
Solution Si kuviondoa,

Ni kuishi Kwa kusikiliza na kufuata Roho Si mwili,

Unatakiwa kuutiisha mwili wako Ili umpendeze Mungu.

Miguu Yako itiishe iende kumtumikia Mungu,

Masikio Yako yasikie nini Mungu asema, usisikie ya Dunia,


Macho Yako ya ndani yawe na nguvu kuliko ya MWILI, ukiona mwanamke asiye mkeo, umuone kama dada Yako anayestahili Heshima .

Kinywa chako kinene mapenzi ya Mungu, yasitoke matusi ktk mdomo wako.

In short, Roho isizidi nguvu mwili ndipo ufuate Mapenzi ya Mungu.

Ubarikiwe 🙏
 
Utadaiwa siku ya HUKUMU Kwa kutowalea wanao sawasawa na maelekezo ya Mungu.

Mwili wako ni hekalu ambalo Mungu anataka akae ndani Ili aabudiwe.

Pete za masikioni zinapotobolewa na kuwekwa katika sikio, lengo ni kuziba sikio la mtu wa ndani asiweze kusikia neno la Mungu na maagizo yake.

Kuchora tattoo ni uchawi kama uchawi mwingine, na asili ya tattoo ni kuzimu, IPO kuchafua mwili Ili kuondoa uwepo wa Mungu na kukaribisha mapepo.

Kufuga kucha ndefu na kupaka RANGI ni uchawi pia, lengo ni kufanya mtu afanane na misukule Ili baadae naye aende kuwa mfungwa katika gereza la shetani.

Kusuka Rasta Kwa asili tangu awali, Waganga wapiga ramli ndio Hasa walikuwa wakifuga Rasta Kwa maelekezo ya madhabahu Yao ya Giza, na Nia ni Roho ya Rasta ni kupeleka vifungo,kunasa akili na Fikra Ili uwe tu kichaa, kamwe usijitambue, utaona ukichaa na kufuga Rasta vinaendana.

Kuvaa suruali na mavazi ya kubana Kwa wanawake Nia ya shetani hapo ni kuwaangusha wanaume katika uzinzi na kupiga punyeto, sasa mwanao alisaidia vijana kujichua Kwa mavazi ya nusu uchi avaayo, anatumikia Ufalme upi kama Si wa Giza?

Kofia za kichwani, wigs kadhalika zipo kuondoa utulivu, kushika Fikra, kuondoa utulivu, hasira, sababu katika Ulimwengu wa Roho, wigs ni nyoka zilizosokotwa mtu anazivaa kichwani, sasa nani hapo anaabudiwa?

Mwili ni hekalu la Mungu,

Usilichafue.

Ubarikiwe 🙏
Hujui chochote
 
Back
Top Bottom